Rais Samia Suluhu Hassan, awasili jijini Luanda Angola kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu

Rais Samia Suluhu Hassan, awasili jijini Luanda Angola kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro, jijini Luanda, leo Aprili 7, 2025 kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Angola.

Ziara hiyo imefanyika kwa mwaliko wa Rais wa Angola, João Manuel Gonçalves Lourenço, ikiwa na lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria na kidugu kati ya Tanzania na Angola.

Rais Samia anatarajiwa kushiriki katika mikutano ya ngazi ya juu, kutembelea maeneo ya kimkakati na kusaini makubaliano mbalimbali yenye lengo la kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na kisiasa kati ya nchi hizo mbili.

Tanzania na Angola zimekuwa na ushirikiano wa muda mrefu uliotokana na historia ya ukombozi wa Afrika na sasa zinalenga kuutumia uhusiano huo katika kukuza maendeleo ya pande zote mbili.

1744052209390.jpg
1744052216497.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika tuna Rais Mbele yetu, tuna kiongozi shujaa ,tuna kiongozi na Rais mwenye ushawishi Wa kiwango cha juu,tuna Rais mwenye Sauti ya kusikilizwa na kuheshimika,tuna Rais mwenye kutoa muelekeo wa Bara la Afrika.

Tumepata RAIS Mwenye uwezo wa kuzungumza na Dunia nzima ikatega masikio kusikiliza neno kwa neno na sentensi kwa sentensi. tuna Rais Mwenye kukubalika kila mahali barani Afrika,tuna Rais mwenye kutamaniwa na kila Mwafrika kuongozwa naye.

Kwa hakika tumepata bahati na neema ya kipekee sana Watanzania kuwa na Rais Samia kitini. Tuna kila sababu ya kujivunia na kumshukuru Mungu kwa kumleta Duniani Rais Samia katika Ardhi ya Tanzania. Kwa hakika tuna kila sababu na wajibu wa kuendelea kumuomba Mungu aendelee kumlinda,kumtetea , kumpigania na kumtunza Rais Wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Kwa sasa Mama ndiye kioo cha Afrika, ndiye mfano wa Kuigwa kwa wanawake na mabinti wengi, ndiye mfano wa kiongozi bora na mzalendo wa kweli ,ndiye mwana Majumuiya na mwana Afrika mwenye uzalendo wa dhati kwa Afrika,ndiye Sauti ya Afrika,ndie mtetezi wa Afrika na waafrika,ndiye tumaini la Afrika na waafrika,ndiye mtoa Dira na muelekeo wa Afrika.ndiye Mboni na jicho la Afrika.

Ndani ya Rais Samia Unnamuona Hayati Bana wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Nelson Mandela. Ndani ya RAIS Samia unaona kiongozi mwenye hofu ya Mungu na Mcha Mungu. Ndani ya Rais Samia unaona Mungu akitenda kupitia mkono wa Mama . Rais Samia ni zawadi ya kipekee sana kwetu watanzania tunayopaswa kuilinda kwa wivu mkubwa sana.
Screenshot_20250407-221703_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Meimosi kesho kutwa KIKOKOTOO bado kashikilia shingo mtu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika tuna Rais Mbele yetu, tuna kiongozi shujaa ,tuna kiongozi na Rais mwenye ushawishi Wa kiwango cha juu,tuna Rais mwenye Sauti ya kusikilizwa na kuheshimika,tuna Rais mwenye kutoa muelekeo wa Bara la Afrika.

Tumepata RAIS Mwenye uwezo wa kuzungumza na Dunia nzima ikatega masikio kusikiliza neno kwa neno na sentensi kwa sentensi. tuna Rais Mwenye kukubalika kila mahali barani Afrika,tuna Rais mwenye kutamaniwa na kila Mwafrika kuongozwa naye.

Kwa hakika tumepata bahati na neema ya kipekee sana Watanzania kuwa na Rais Samia kitini. Tuna kila sababu ya kujivunia na kumshukuru Mungu kwa kumleta Duniani Rais Samia katika Ardhi ya Tanzania. Kwa hakika tuna kila sababu na wajibu wa kuendelea kumuomba Mungu aendelee kumlinda,kumtetea , kumpigania na kumtunza Rais Wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Kwa sasa Mama ndiye kioo cha Afrika, ndiye mfano wa Kuigwa kwa wanawake na mabinti wengi, ndiye mfano wa kiongozi bora na mzalendo wa kweli ,ndiye mwana Majumuiya na mwana Afrika mwenye uzalendo wa dhati kwa Afrika,ndiye Sauti ya Afrika,ndie mtetezi wa Afrika na waafrika,ndiye tumaini la Afrika na waafrika,ndiye mtoa Dira na muelekeo wa Afrika.ndiye Mboni na jicho la Afrika.

Ndani ya Rais Samia Unnamuona Hayati Bana wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Nelson Mandela. Ndani ya RAIS Samia unaona kiongozi mwenye hofu ya Mungu na Mcha Mungu. Ndani ya Rais Samia unaona Mungu akitenda kupitia mkono wa Mama . Rais Samia ni zawadi ya kipekee sana kwetu watanzania tunayopaswa kuilinda kwa wivu mkubwa sana.View attachment 3296115

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tlaatlaah mnaitwa huku,
Dah sema mwana anawatia aibu sana kwa hakika!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika tuna Rais Mbele yetu, tuna kiongozi shujaa ,tuna kiongozi na Rais mwenye ushawishi Wa kiwango cha juu,tuna Rais mwenye Sauti ya kusikilizwa na kuheshimika,tuna Rais mwenye kutoa muelekeo wa Bara la Afrika.

Tumepata RAIS Mwenye uwezo wa kuzungumza na Dunia nzima ikatega masikio kusikiliza neno kwa neno na sentensi kwa sentensi. tuna Rais Mwenye kukubalika kila mahali barani Afrika,tuna Rais mwenye kutamaniwa na kila Mwafrika kuongozwa naye.

Kwa hakika tumepata bahati na neema ya kipekee sana Watanzania kuwa na Rais Samia kitini. Tuna kila sababu ya kujivunia na kumshukuru Mungu kwa kumleta Duniani Rais Samia katika Ardhi ya Tanzania. Kwa hakika tuna kila sababu na wajibu wa kuendelea kumuomba Mungu aendelee kumlinda,kumtetea , kumpigania na kumtunza Rais Wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Kwa sasa Mama ndiye kioo cha Afrika, ndiye mfano wa Kuigwa kwa wanawake na mabinti wengi, ndiye mfano wa kiongozi bora na mzalendo wa kweli ,ndiye mwana Majumuiya na mwana Afrika mwenye uzalendo wa dhati kwa Afrika,ndiye Sauti ya Afrika,ndie mtetezi wa Afrika na waafrika,ndiye tumaini la Afrika na waafrika,ndiye mtoa Dira na muelekeo wa Afrika.ndiye Mboni na jicho la Afrika.

Ndani ya Rais Samia Unnamuona Hayati Bana wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Nelson Mandela. Ndani ya RAIS Samia unaona kiongozi mwenye hofu ya Mungu na Mcha Mungu. Ndani ya Rais Samia unaona Mungu akitenda kupitia mkono wa Mama . Rais Samia ni zawadi ya kipekee sana kwetu watanzania tunayopaswa kuilinda kwa wivu mkubwa sana.View attachment 3296115

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
God bless you Dr Samia Suluhu Hassan 🌹
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro, jijini Luanda, leo Aprili 7, 2025 kwa ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Angola.

Ziara hiyo imefanyika kwa mwaliko wa Rais wa Angola, João Manuel Gonçalves Lourenço, ikiwa na lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria na kidugu kati ya Tanzania na Angola.

Rais Samia anatarajiwa kushiriki katika mikutano ya ngazi ya juu, kutembelea maeneo ya kimkakati na kusaini makubaliano mbalimbali yenye lengo la kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na kisiasa kati ya nchi hizo mbili.

Tanzania na Angola zimekuwa na ushirikiano wa muda mrefu uliotokana na historia ya ukombozi wa Afrika na sasa zinalenga kuutumia uhusiano huo katika kukuza maendeleo ya pande zote mbili.

View attachment 3296090View attachment 3296089
well done mtukufu Rais,
God bless you 💪 👍
 
Rais Samia atua Luanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili jijini Luanda, Jamhuri ya Angola kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu kuanzia leo tarehe 7 hadi 9 Aprili 2025. Ziara hii inafanyika kufuatia mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Angola, Mhe.João Manuel Gonçalves Lourenço.

Lengo kuu la ziara hii ni kuimarisha uhusiano wa kihistoria na kimkakati kati ya Tanzania na Angola.

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 de Fevereiro, Rais Samia amepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola, Mhe.Tete António akiambatana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo. Viongozi wengine waliokuwapo ni Balozi wa Tanzania nchini Angola mwenye Makazi yake nchini Zambia, Luteni Jenerali Mathew Mkingule, na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro de Oliveira pamoja na viongozi wengine wa serikali.

Ziara hii ni ya kihistoria, kwani ni mara ya kwanza kwa Rais wa Tanzania kutembelea Angola katika kipindi cha miaka 19, tangu ziara ya mwisho ya Rais Mstaafu, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa madarakani mwaka 2006.
 

Attachments

  • IMG-20250407-WA0251.jpg
    IMG-20250407-WA0251.jpg
    283.9 KB · Views: 17
  • IMG-20250407-WA0252.jpg
    IMG-20250407-WA0252.jpg
    284.6 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0310.jpg
    IMG-20250407-WA0310.jpg
    551.4 KB · Views: 15
  • IMG-20250407-WA0309.jpg
    IMG-20250407-WA0309.jpg
    565.9 KB · Views: 12
  • IMG-20250407-WA0300.jpg
    IMG-20250407-WA0300.jpg
    635.2 KB · Views: 17
  • IMG-20250407-WA0295.jpg
    IMG-20250407-WA0295.jpg
    495.4 KB · Views: 18
  • IMG-20250407-WA0296.jpg
    IMG-20250407-WA0296.jpg
    551.9 KB · Views: 21
  • IMG-20250407-WA0299.jpg
    IMG-20250407-WA0299.jpg
    429.3 KB · Views: 17
  • IMG-20250407-WA0311.jpg
    IMG-20250407-WA0311.jpg
    444.6 KB · Views: 17
  • IMG-20250407-WA0307.jpg
    IMG-20250407-WA0307.jpg
    379.8 KB · Views: 19
  • IMG-20250407-WA0302.jpg
    IMG-20250407-WA0302.jpg
    471.5 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0292.jpg
    IMG-20250407-WA0292.jpg
    545 KB · Views: 18
  • IMG-20250407-WA0294.jpg
    IMG-20250407-WA0294.jpg
    592.6 KB · Views: 12
  • IMG-20250407-WA0290.jpg
    IMG-20250407-WA0290.jpg
    485.8 KB · Views: 24
  • IMG-20250407-WA0293.jpg
    IMG-20250407-WA0293.jpg
    554.2 KB · Views: 15
  • IMG-20250407-WA0289.jpg
    IMG-20250407-WA0289.jpg
    485.1 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0291.jpg
    IMG-20250407-WA0291.jpg
    506.9 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0285.jpg
    IMG-20250407-WA0285.jpg
    431 KB · Views: 15
  • IMG-20250407-WA0287.jpg
    IMG-20250407-WA0287.jpg
    418.4 KB · Views: 18
  • IMG-20250407-WA0288.jpg
    IMG-20250407-WA0288.jpg
    410.1 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0286.jpg
    IMG-20250407-WA0286.jpg
    504.7 KB · Views: 19
  • IMG-20250407-WA0284.jpg
    IMG-20250407-WA0284.jpg
    402.3 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0283.jpg
    IMG-20250407-WA0283.jpg
    391.8 KB · Views: 18
  • IMG-20250407-WA0279.jpg
    IMG-20250407-WA0279.jpg
    292.7 KB · Views: 17
  • IMG-20250407-WA0277.jpg
    IMG-20250407-WA0277.jpg
    566.4 KB · Views: 17
  • IMG-20250407-WA0276.jpg
    IMG-20250407-WA0276.jpg
    301.4 KB · Views: 14
  • IMG-20250407-WA0270.jpg
    IMG-20250407-WA0270.jpg
    790.9 KB · Views: 16
  • IMG-20250407-WA0274.jpg
    IMG-20250407-WA0274.jpg
    485.7 KB · Views: 14
  • IMG-20250407-WA0264.jpg
    IMG-20250407-WA0264.jpg
    571 KB · Views: 11
  • IMG-20250407-WA0259.jpg
    IMG-20250407-WA0259.jpg
    624.9 KB · Views: 17
Tlaatlaah mnaitwa huku,
Dah sema mwana anawatia aibu sana kwa hakika!!
Dr Samia Suluhu Hassan,
anasambaza upendo na amani miongoni mwa mataifa ya ulimwengu kwa niaba ya waTanzania wote.

well done Dr Samia Suluhu Hassan,
God bless you, Aimen 🙏
 
safi sana, kwa usafiri huu lazima tuheshimiane anatua ka Jieng Ping,
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika tuna Rais Mbele yetu, tuna kiongozi shujaa ,tuna kiongozi na Rais mwenye ushawishi Wa kiwango cha juu,tuna Rais mwenye Sauti ya kusikilizwa na kuheshimika,tuna Rais mwenye kutoa muelekeo wa Bara la Afrika.

Tumepata RAIS Mwenye uwezo wa kuzungumza na Dunia nzima ikatega masikio kusikiliza neno kwa neno na sentensi kwa sentensi. tuna Rais Mwenye kukubalika kila mahali barani Afrika,tuna Rais mwenye kutamaniwa na kila Mwafrika kuongozwa naye.

Kwa hakika tumepata bahati na neema ya kipekee sana Watanzania kuwa na Rais Samia kitini. Tuna kila sababu ya kujivunia na kumshukuru Mungu kwa kumleta Duniani Rais Samia katika Ardhi ya Tanzania. Kwa hakika tuna kila sababu na wajibu wa kuendelea kumuomba Mungu aendelee kumlinda,kumtetea , kumpigania na kumtunza Rais Wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Kwa sasa Mama ndiye kioo cha Afrika, ndiye mfano wa Kuigwa kwa wanawake na mabinti wengi, ndiye mfano wa kiongozi bora na mzalendo wa kweli ,ndiye mwana Majumuiya na mwana Afrika mwenye uzalendo wa dhati kwa Afrika,ndiye Sauti ya Afrika,ndie mtetezi wa Afrika na waafrika,ndiye tumaini la Afrika na waafrika,ndiye mtoa Dira na muelekeo wa Afrika.ndiye Mboni na jicho la Afrika.

Ndani ya Rais Samia Unnamuona Hayati Bana wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Nelson Mandela. Ndani ya RAIS Samia unaona kiongozi mwenye hofu ya Mungu na Mcha Mungu. Ndani ya Rais Samia unaona Mungu akitenda kupitia mkono wa Mama . Rais Samia ni zawadi ya kipekee sana kwetu watanzania tunayopaswa kuilinda kwa wivu mkubwa sana.View attachment 3296115

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Komando ambaye hajawahi hata kupiga Push up 5!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika tuna Rais Mbele yetu, tuna kiongozi shujaa ,tuna kiongozi na Rais mwenye ushawishi Wa kiwango cha juu,tuna Rais mwenye Sauti ya kusikilizwa na kuheshimika,tuna Rais mwenye kutoa muelekeo wa Bara la Afrika.

Tumepata RAIS Mwenye uwezo wa kuzungumza na Dunia nzima ikatega masikio kusikiliza neno kwa neno na sentensi kwa sentensi. tuna Rais Mwenye kukubalika kila mahali barani Afrika,tuna Rais mwenye kutamaniwa na kila Mwafrika kuongozwa naye.

Kwa hakika tumepata bahati na neema ya kipekee sana Watanzania kuwa na Rais Samia kitini. Tuna kila sababu ya kujivunia na kumshukuru Mungu kwa kumleta Duniani Rais Samia katika Ardhi ya Tanzania. Kwa hakika tuna kila sababu na wajibu wa kuendelea kumuomba Mungu aendelee kumlinda,kumtetea , kumpigania na kumtunza Rais Wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Kwa sasa Mama ndiye kioo cha Afrika, ndiye mfano wa Kuigwa kwa wanawake na mabinti wengi, ndiye mfano wa kiongozi bora na mzalendo wa kweli ,ndiye mwana Majumuiya na mwana Afrika mwenye uzalendo wa dhati kwa Afrika,ndiye Sauti ya Afrika,ndie mtetezi wa Afrika na waafrika,ndiye tumaini la Afrika na waafrika,ndiye mtoa Dira na muelekeo wa Afrika.ndiye Mboni na jicho la Afrika.

Ndani ya Rais Samia Unnamuona Hayati Bana wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na Hayati Nelson Mandela. Ndani ya RAIS Samia unaona kiongozi mwenye hofu ya Mungu na Mcha Mungu. Ndani ya Rais Samia unaona Mungu akitenda kupitia mkono wa Mama . Rais Samia ni zawadi ya kipekee sana kwetu watanzania tunayopaswa kuilinda kwa wivu mkubwa sana.View attachment 3296115

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naunga mkono hoja
 
Rais Samia atua Luanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili jijini Luanda, Jamhuri ya Angola kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu kuanzia leo tarehe 7 hadi 9 Aprili 2025. Ziara hii inafanyika kufuatia mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Angola, Mhe.João Manuel Gonçalves Lourenço.

Lengo kuu la ziara hii ni kuimarisha uhusiano wa kihistoria na kimkakati kati ya Tanzania na Angola.

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 de Fevereiro, Rais Samia amepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola, Mhe.Tete António akiambatana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo. Viongozi wengine waliokuwapo ni Balozi wa Tanzania nchini Angola mwenye Makazi yake nchini Zambia, Luteni Jenerali Mathew Mkingule, na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro de Oliveira pamoja na viongozi wengine wa serikali.

Ziara hii ni ya kihistoria, kwani ni mara ya kwanza kwa Rais wa Tanzania kutembelea Angola katika kipindi cha miaka 19, tangu ziara ya mwisho ya Rais Mstaafu, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa madarakani mwaka 2006.
NDIYO MAANA WALE WALIZUIWA KUINGIA HUMO KWA VILE NI WAPINZANI WA SERIKALI...JIBU LIMEPATIKANA
 
Back
Top Bottom