DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
Nimesikiliza kidogo hotuba ya Mh Rais nikaguswa na jinsi anavyochukizwa na utaratibu wa kujua matatizo/kero za wananchi kupitia 'wabeba mabango'.
Naamini, kuna umuhimu pia wa kuanzisha Centralized Customer Service Agency (ikiwezekana iwe chini ya Ofisi ya Rais) itakayokusanya malalamiko yote ya wananchi) na kufuatilia 'end to end' na taasisi husika kuhakikisha yanatatuliwa, mfano, TANESCO na kuhakikisha wananchi (ambao kimsingi ni walipakodi) wanaridhika na huduma zinazotolewa na serikali yao.
Kama ilivyo kwenye makampuni binafsi, moja ya majukumu yake iwe ni kukusanya malalamiko na kumshauri Rais maeneo yenye kero sugu na korofi ili aweze kufanya maamuzi.
Kimsingi, malalamiko yote yawe centralized kupitia hiyo Agency, yapewe reference number na ufuatiliaji uwe unafanyika independently na mrejesho kwa wateja unatolewa na hiyo agency husika. Naamini hii itakupa picha kamili ya quality ya huduma zinazotolewa kwenye ngazi zote za Serikali.
Naamini, kuna umuhimu pia wa kuanzisha Centralized Customer Service Agency (ikiwezekana iwe chini ya Ofisi ya Rais) itakayokusanya malalamiko yote ya wananchi) na kufuatilia 'end to end' na taasisi husika kuhakikisha yanatatuliwa, mfano, TANESCO na kuhakikisha wananchi (ambao kimsingi ni walipakodi) wanaridhika na huduma zinazotolewa na serikali yao.
Kama ilivyo kwenye makampuni binafsi, moja ya majukumu yake iwe ni kukusanya malalamiko na kumshauri Rais maeneo yenye kero sugu na korofi ili aweze kufanya maamuzi.
Kimsingi, malalamiko yote yawe centralized kupitia hiyo Agency, yapewe reference number na ufuatiliaji uwe unafanyika independently na mrejesho kwa wateja unatolewa na hiyo agency husika. Naamini hii itakupa picha kamili ya quality ya huduma zinazotolewa kwenye ngazi zote za Serikali.