Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,104
- 34,060
Elisante Ole Gabriel kama alivyoandikaHivi ni Ole sante ole Gabriel ama ni Elisante Ole Gabriel?
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Elisante Ole Gabriel kama alivyoandikaHivi ni Ole sante ole Gabriel ama ni Elisante Ole Gabriel?
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Huyo anawakilisha Tanzania katika Umoja wa Mataifa lakini hana muda nae arudi akafuge mifugo pale Bukoba apumzikeMasilingi ametoka ama?
Nazani amekuelewaProf Ole Sante Ole Gabrieli sio tu kapanda bali pia kapewa heshima kubwa ya kuusimamia Muhimili wa Mahakama.
Prof; Ole ni kiongozi shapu sana na ni mbunifu.
hakika ataubadilisha sana huu Muhimili wa haki.
Fanya utafiti upya.Kapanda cheo,
Mtendaji mkuu wa mahakama, Katibu wa bunge na Katibu mkuu kiongozi wanahadhi sawa na pia wanafanana kimshahara
Mtu yeyote anayewaza udini karne ya 21 ni punguani????Hayo majina ya kiislamu hapo ataambiwa mdini.
Tamisemi ni wizara ya Muungano au Ya Bara TuNdio zamu yetu wazanzibari. Kama inawakera lianzisheni kama TALIBAN.
Na kama hamjui mama ana watoto wanne ila ana wake wenzie watatu na watoto wote lazima awape vitengo.
View attachment 1895508
Jambazi anakuwaje kichwa!Ole Gabriel anaonekana kuwa ni kichwa fulani ambaye watu wa mfumo wanamuwekea fitina.
Anaongea points za maana siku zote.
nikiona teuzi nahisi kma mwigulu ametenguliwa
Mtu yeyote anayewaza udini karne ya 21 ni punguani????
Ameiba nini?Jambazi anakuwaje kichwa!
..nina ndugu yangu amesoma na Lt.Gen.Yakubu Mohamed amestaafu tangu mwaka juzi.
..kwa hiyo bila shaka CoS Yakubu Mohamed amefikia umri wa kustaafu.
..CoS Mwakalindile aliteuliwa balozi Msumbiji. Cos Kiwelu aliteuliwa balozi Ufaransa. CoS Abdulrahman Shimbo aliteuliwa balozi China.
Hivi Kuna mashindano ya urembo au?Ndio zamu yetu wazanzibari. Kama inawakera lianzisheni kama TALIBAN.
Na kama hamjui mama ana watoto wanne ila ana wake wenzie watatu na watoto wote lazima awape vitengo.
View attachment 1895508
Na atawajaza kwelikweli maana huyu ni mamluki. 2025 mungu akijalia tutapata magufuli mpya.Ndio zamu yetu wazanzibari. Kama inawakera lianzisheni kama TALIBAN.
Na kama hamjui mama ana watoto wanne ila ana wake wenzie watatu na watoto wote lazima awape vitengo.
View attachment 1895508
Anateua akiwa Malawi.Hapa hatuna Rais tuna mzurulaji.
Kikwete ndiye aliyetuharibia hii Nchi.
Tanzania Embassy in the USAElsie Sia Kanza hapo Tanzania imepata balozi anayefaa kabisa kuiwakilisha nchi yetu .