Rais Samia ondoa hawa watu

Rais Samia ondoa hawa watu

Miji imekuwa ya hovyo kila mahali maturubali.
 
Mtoa mada naomba ugongwe na gari ufe maana umenishika pabaya sana
 
Mabibi na mabwana wazee kwa vijana

Swali ya yote napenda kusema tu
Jpm uliharibu sura ya miji na majiji yetu kwa kigezo Cha wanyonge
Leo hii miji imekuwa Kama masoko au mashamba machinga mama ntilie wametapakaaa barabarani bila mpangilio taswira ya jiji miji haipo Tena
Mama Samia ondoa hawa watu katikati ya jiji Mwanza pamekuwa dampo tu na si jiji mpangilio hakuna vurugu tu
"...Mimi na Magufuli ni kitu hiki....kimoja"
 
Mabibi na mabwana wazee kwa vijana

Swali ya yote napenda kusema tu
Jpm uliharibu sura ya miji na majiji yetu kwa kigezo Cha wanyonge
Leo hii miji imekuwa Kama masoko au mashamba machinga mama ntilie wametapakaaa barabarani bila mpangilio taswira ya jiji miji haipo Tena
Mama Samia ondoa hawa watu katikati ya jiji Mwanza pamekuwa dampo tu na si jiji mpangilio hakuna vurugu tu[/
Hiyo mimba uliyodungwa huko chato itakutoa roho.
 
1 May 2021

Muonekana Mjini kati Posta jijini Dar es Salaam, Tanzania Mwaka 2021


Jiji letu la Dar es Salaam limebadilika sana. Tembea nasi katika video hii upate uhalisia wa maeneo ya katikati ya jiji hili kubwa kabisa Afrika Mashariki
Source : malango travels
 
Back
Top Bottom