Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,531
Mabibi na mabwana wazee kwa vijana
Swali ya yote napenda kusema tu
Jpm uliharibu sura ya miji na majiji yetu kwa kigezo Cha wanyonge
Leo hii miji imekuwa Kama masoko au mashamba machinga mama ntilie wametapakaaa barabarani bila mpangilio taswira ya jiji miji haipo Tena
Mama Samia ondoa hawa watu katikati ya jiji Mwanza pamekuwa dampo tu na si jiji mpangilio hakuna vurugu tu
Swali ya yote napenda kusema tu
Jpm uliharibu sura ya miji na majiji yetu kwa kigezo Cha wanyonge
Leo hii miji imekuwa Kama masoko au mashamba machinga mama ntilie wametapakaaa barabarani bila mpangilio taswira ya jiji miji haipo Tena
Mama Samia ondoa hawa watu katikati ya jiji Mwanza pamekuwa dampo tu na si jiji mpangilio hakuna vurugu tu