Rais Samia ni mjivuni?

Rais Samia ni mjivuni?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
719
Reaction score
2,659
Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.

Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.

Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.

Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.

Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
 
Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.

Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.

Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.

Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.

Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Taarab tu
 
Nipo hapa kwa ajili ya kuangalia comments za makasiriko za nyumbu wa mbowe tu nicheke
 
Hivi kwani lazima upost kila kinachokuja akilini mwako? Unasema Hili na lile Sasa hili ni nini na lile ni nini
Don't be fool
 
Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.

Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.

Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.

Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.

Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Amefanya kazi kubwa kuijenga Zanzibar na kujaza wazanzibar na waislam kwenye system ya bara
 
Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.

Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.

Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.

Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.

Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Akasema, "NITARUKA" wasiponisifu nitajisifu "MWENYEWE"....
 
Ni limbukeni, mlevi wa madaraka lakini kubwa kuliko yote ana inferiority complex.

Anahisi uwepo wa haja wa ku prove uwezo wake kila nafasi anayopata kwa imani watu wanamuona hawezi (in reality hawezi).
 
Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.

Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.

Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.

Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.

Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Ni mjivuni. Na wala ujivuni si tatizo.

Mtu akiwa na akili halafu akawa mjivuni ni sawa. Ni haki yake.

Tatizo ni mtu mjinga halafu anakuwa mjivuni.
 
Ukiona mtu anajisifu mwenyewe kwa ahisiyo amefanya tambua ni mjivuni kwa mujibu wa wahenga wetu.

Hali hiyo ndiyo inayojionyesha kwa Rais Samia.

Mda mwingi Rais Samia amekuwa akijiona na kujisifu peke yake eti amefanya hiki na kile na hapaswi kulaumiwa kwa lawama anazolaumiwa na wengi wa Watanzania.

Utamsikia mara nimefanya jema hili na lile ama nimeleta jambo fulani.

Kwa dalili hizo je Samia naye ni mjivuni na kwa nini anajisifia badala asubiri wengine wamsifie!?
Vile vile "Wahenga wa Kisasa" wanasema, usiposifiwa, jisifie mwenyewe. Kwahiyo,Mama yetu yupo sahihi!
 
Mda mwingine utamsikia akisema anafanya kazi za nyumbani zote kama mama, eti ana uwezo wa kujigawa ..
 
Back
Top Bottom