Atamkomoa mtu ambaye alikuwa akitoa pesa zake mfukoni ili kushughulikia dhamana za kesi zake dhidi ya serikali. Mwakibinga anafahamu mbowe ni nani kwake!..huyu Mwakibinga hata akipewa nafasi ya uongozi inawezekana akaitumia kujaribu kumkomoa Freeman Mbowe badala ya kushughulikia matatizo ya vijana na wananchi kwa ujumla.
Sasa wee babu go hang ndo nn 🤣🤣🤣Si unajifanya unajua hicho kizungu chako cha ugoko. Sasa vipi unatumia Kiswahili? Upuuzi mtupu.
na yeye anajua kizungu [emoji23][emoji23]Sasa wee babu go hang ndo nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama huelewi shauri yako.Sasa wee babu go hang ndo nn 🤣🤣🤣