Rais Samia, naomba ajira

Rais Samia, naomba ajira

Rais wangu Samia,naomba ajira ,uniteue niwe Mkurugenzi mkuu wa TISS, hii kazi naipenda kuliko kazi zote Duniani.

Naipenda hii kazi kwa sababu naipenda sana nchi yangu Tanzania.

Sina chama chochote cha kiasiasa ninachokifia, Chama changu ni Tanzania.

Ukiniteua kwenye hii nafasi ,nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu.

Kwanini nasema nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu?

Rais wangu, Idara ya Usalama wa Taifa ktk Taifa lolote lile Duniani ndo Roho ya nchi, Idara ikiwa Dhaifu na Taifa linakuwa Dhaifu.

Uimara wa China kiuchumi kwa muda mfupi tu umetokana na Uimara Intelligence yao.

Hatuwezi kufika popote Kama Taifa bila kuwa na Idara imara.

Kila baada ya miezi miwili au mitatu Idara ya Usalama wa Taifa la Kenya kitengo cha Uchumi hukutana ili kuboresha mbinu za kuhakikisha Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda zinaendelea kununua Bidhaa nyingi za Kenya kuliko zenyewe kuuza Kenya, mambo ni mazito na magumu yanafanyika, na bado mipango mizito inafanywa ili tuendelee kununua zaidi Kenya kuliko kuuza.

Ukiniteua kwenye hii nafasi, nitaunda kikosi kazi maalumu ambacho kazi yake ni kwenda kuiba Technology ya kutengeneza Bidhaa muhimu kiuchumi.

Itahitaji maandalizi ya miaka mitatu au miwili kuandaa hiki kikosi.

Intelligence imara haina muda na Siasa uchwara na wala haitumiki kwa maslahi ya Watawala wasio na Hekima.

Rais wangu Samia, naomba ajira.
Hii kazi haiombwi kama kuomba chumvi,
Una Elimu gani,umefanya nini mpaka sasa hv kwenye nyanja za usalama,hii kazi wanapewa watu waliopo kwenye kada za usalama,jeshini,polisi,kitendo Cha wewe kuiomba tu,umethibitisha kwamba hufai
 
Yaan we jamaa unavowashwa kuhusu usalama,utafkiri yaan we ndio the best candidate ambae unapaswa kuwa recruited kumbe ni mchumia tumbo ambae ni much know kutwa kushinda mtandaoni badala ya kufanya kazi
 
Hata marehemu Ruge ktk moja ya interview yake pale mjengoni alitaka sana hiko cheo, alikutamani na kusema hataki cheo chochote au uteuzu wowote serikalini labda tu kwa nafasi aliyonayo diwani sasa
 
Rais wangu Samia,naomba ajira ,uniteue niwe Mkurugenzi mkuu wa TISS, hii kazi naipenda kuliko kazi zote Duniani.

Naipenda hii kazi kwa sababu naipenda sana nchi yangu Tanzania.

Sina chama chochote cha kiasiasa ninachokifia, Chama changu ni Tanzania.

Ukiniteua kwenye hii nafasi ,nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu.

Kwanini nasema nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu?

Rais wangu, Idara ya Usalama wa Taifa ktk Taifa lolote lile Duniani ndo Roho ya nchi, Idara ikiwa Dhaifu na Taifa linakuwa Dhaifu.

Uimara wa China kiuchumi kwa muda mfupi tu umetokana na Uimara Intelligence yao.

Hatuwezi kufika popote Kama Taifa bila kuwa na Idara imara.

Kila baada ya miezi miwili au mitatu Idara ya Usalama wa Taifa la Kenya kitengo cha Uchumi hukutana ili kuboresha mbinu za kuhakikisha Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda zinaendelea kununua Bidhaa nyingi za Kenya kuliko zenyewe kuuza Kenya, mambo ni mazito na magumu yanafanyika, na bado mipango mizito inafanywa ili tuendelee kununua zaidi Kenya kuliko kuuza.

Ukiniteua kwenye hii nafasi, nitaunda kikosi kazi maalumu ambacho kazi yake ni kwenda kuiba Technology ya kutengeneza Bidhaa muhimu kiuchumi.

Itahitaji maandalizi ya miaka mitatu au miwili kuandaa hiki kikosi.

Intelligence imara haina muda na Siasa uchwara na wala haitumiki kwa maslahi ya Watawala wasio na Hekima.

Rais wangu Samia, naomba ajira.
Sijui ni nani anawadanganya ( amewadanganya ) kuwa kwa Ukanda wetu huu wa Maziwa Makuu Kenya wako vizuri sana Kiujasusi kuliko Tanzania.

Nashukuru Mungu na nashukuru pia kwa angalau kuweza Kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika na kubahatika kukutana na Watu wa hii Kada Nyeti wa nchi hizo huku nikiwa ni Raia wa kawaida tu.

Ninachojua likija Suala zima la Ujasusi ( Espionage ) kwa hapa Afrika ( tena kwa Kujiamini kabisa 100% ) Tanzania huenda ikazidiwa tu na nchi Tatu za Egypt, South Africa na Ethiopia ila siyo zingine.

Hawa Wakenya wako unaowasifia Kutwa wao Wenyewe tokea kutokee Mashambulizi ya Kigaidi huko Kwao wamekuwa wakija Kuomba Msaada wa Watu wetu ( Watanzania kutoka Idarani ) waweze Kuwasaidia na hata Kuwafunza zaidi Watu wao ( Wakenya )

Ungeniambia ( ungekuja na Hoja ) kwamba Wakenya wameamua Kuwekeza na ' Kujikita ' zaidi katika Ujasusi pekee wa Kiuchumi kidogo ningekuelewa ila Tanzania kwa miaka mingi ' imejikita ' katika ' Ujasusi ' wa jumla ambao hata ' Kimedani ' ndiyo una faida Kubwa kama waufanyao Israel ( Wayahudi )

Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa kwa hapa Afrika na hata Ukanda wetu huu sijaona nchi ya Kushindana ' Kiujasusi ' na Tanzania na hakuna Taifa ' linaloogopeka ' kwa Unjagu ( Ujasusi ) Barani Afrika na hata baadhi ya nchi Kubwa ( Mataifa Makubwa ) yanaiogopa kama Tanzania.

Popote mlipo TISS Agents tembeeni Vifua mbele, tunajivunia Uimara na Utendaji wenu ulioandaliwa vyema ' Kimisingi ' Imara ya ' Kiujasusi ' tokea enzi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hadi hivi Sasa. Watanzania leo tuna huu Ustawi, Amani na Uhuru kutokana na Kufanya Kwenu Kazi ya Kutulinda ' Kiusalama ' ndani na nje ya mipaka huku mkishirikiana vyema tu na Idara Nyeti za Jeshi ( CMI )

Nchi pekee kwa Ukanda huu ambayo kidogo inakuja kwa Kasi ' Kiujasusi ' japo bado ina Safari ndefu ya Kuikuta Tanzania ni Rwanda ( ila nao wana Mapungufu ya Kimsingi ambayo yanawagharimu ) na kwa Uganda ndiyo kabisa hawatutishi kwa Ukanda huu kwani Idara zao zote za ' Kiusalama ' hasa hasa zile za Polisi na Jeshini ' wamepikwa ' na bado mara kwa mara Rais Museveni anawaleta Watendaji wake hao ' Kupikwa ' huku Tanzania au ' Trainers ' wetu wanaenda huko Uganda.

Tanzania 'Kiusalama' ni habari nyingine.
 
Sijui ni nani anawadanganya ( amewadanganya ) kuwa kwa Ukanda wetu huu wa Maziwa Makuu Kenya wako vizuri sana Kiujasusi kuliko Tanzania.

Nashukuru Mungu na nashukuru pia kwa angalau kuweza Kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika na kubahatika kukutana na Watu wa hii Kada Nyeti wa nchi hizo huku nikiwa ni Raia wa kawaida tu.

Ninachojua likija Suala zima la Ujasusi ( Espionage ) kwa hapa Afrika ( tena kwa Kujiamini kabisa 100% ) Tanzania huenda ikazidiwa tu na nchi Tatu za Egypt, South Africa na Ethiopia ila siyo zingine.

Hawa Wakenya wako unaowasifia Kutwa wao Wenyewe tokea kutokee Mashambulizi ya Kigaidi huko Kwao wamekuwa wakija Kuomba Msaada wa Watu wetu ( Watanzania kutoka Idarani ) waweze Kuwasaidia na hata Kuwafunza zaidi Watu wao ( Wakenya )

Ungeniambia ( ungekuja na Hoja ) kwamba Wakenya wameamua Kuwekeza na ' Kujikita ' zaidi katika Ujasusi pekee wa Kiuchumi kidogo ningekuelewa ila Tanzania kwa miaka mingi ' imejikita ' katika ' Ujasusi ' wa jumla ambao hata ' Kimedani ' ndiyo una faida Kubwa kama waufanyao Israel ( Wayahudi )

Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa kwa hapa Afrika na hata Ukanda wetu huu sijaona nchi ya Kushindana ' Kiujasusi ' na Tanzania na hakuna Taifa ' linaloogopeka ' kwa Unjagu ( Ujasusi ) Barani Afrika na hata baadhi ya nchi Kubwa ( Mataifa Makubwa ) yanaiogopa kama Tanzania.

Popote mlipo TISS Agents tembeeni Vifua mbele, tunajivunia Uimara na Utendaji wenu ulioandaliwa vyema ' Kimisingi ' Imara ya ' Kiujasusi ' tokea enzi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hadi hivi Sasa. Watanzania leo tuna huu Ustawi, Amani na Uhuru kutokana na Kufanya Kwenu Kazi ya Kutulinda ' Kiusalama ' ndani na nje ya mipaka huku mkishirikiana vyema tu na Idara Nyeti za Jeshi ( CMI )

Nchi pekee kwa Ukanda huu ambayo kidogo inakuja kwa Kasi ' Kiujasusi ' japo bado ina Safari ndefu ya Kuikuta Tanzania ni Rwanda ( ila nao wana Mapungufu ya Kimsingi ambayo yanawagharimu ) na kwa Uganda ndiyo kabisa hawatutishi kwa Ukanda huu kwani Idara zao zote za ' Kiusalama ' hasa hasa zile za Polisi na Jeshini ' wamepikwa ' na bado mara kwa mara Rais Museveni anawaleta Watendaji wake hao ' Kupikwa ' huku Tanzania au ' Trainers ' wetu wanaenda huko Uganda.

Tanzania 'Kiusalama' ni habari nyingine.
Upo sahihi mkuu,ingawa miaka ya hivi karibuni TISS inaonyesha madhaifu kiasi fulani
 
Sijui ni nani anawadanganya ( amewadanganya ) kuwa kwa Ukanda wetu huu wa Maziwa Makuu Kenya wako vizuri sana Kiujasusi kuliko Tanzania.

Nashukuru Mungu na nashukuru pia kwa angalau kuweza Kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika na kubahatika kukutana na Watu wa hii Kada Nyeti wa nchi hizo huku nikiwa ni Raia wa kawaida tu.

Ninachojua likija Suala zima la Ujasusi ( Espionage ) kwa hapa Afrika ( tena kwa Kujiamini kabisa 100% ) Tanzania huenda ikazidiwa tu na nchi Tatu za Egypt, South Africa na Ethiopia ila siyo zingine.

Hawa Wakenya wako unaowasifia Kutwa wao Wenyewe tokea kutokee Mashambulizi ya Kigaidi huko Kwao wamekuwa wakija Kuomba Msaada wa Watu wetu ( Watanzania kutoka Idarani ) waweze Kuwasaidia na hata Kuwafunza zaidi Watu wao ( Wakenya )

Ungeniambia ( ungekuja na Hoja ) kwamba Wakenya wameamua Kuwekeza na ' Kujikita ' zaidi katika Ujasusi pekee wa Kiuchumi kidogo ningekuelewa ila Tanzania kwa miaka mingi ' imejikita ' katika ' Ujasusi ' wa jumla ambao hata ' Kimedani ' ndiyo una faida Kubwa kama waufanyao Israel ( Wayahudi )

Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa kwa hapa Afrika na hata Ukanda wetu huu sijaona nchi ya Kushindana ' Kiujasusi ' na Tanzania na hakuna Taifa ' linaloogopeka ' kwa Unjagu ( Ujasusi ) Barani Afrika na hata baadhi ya nchi Kubwa ( Mataifa Makubwa ) yanaiogopa kama Tanzania.

Popote mlipo TISS Agents tembeeni Vifua mbele, tunajivunia Uimara na Utendaji wenu ulioandaliwa vyema ' Kimisingi ' Imara ya ' Kiujasusi ' tokea enzi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hadi hivi Sasa. Watanzania leo tuna huu Ustawi, Amani na Uhuru kutokana na Kufanya Kwenu Kazi ya Kutulinda ' Kiusalama ' ndani na nje ya mipaka huku mkishirikiana vyema tu na Idara Nyeti za Jeshi ( CMI )

Nchi pekee kwa Ukanda huu ambayo kidogo inakuja kwa Kasi ' Kiujasusi ' japo bado ina Safari ndefu ya Kuikuta Tanzania ni Rwanda ( ila nao wana Mapungufu ya Kimsingi ambayo yanawagharimu ) na kwa Uganda ndiyo kabisa hawatutishi kwa Ukanda huu kwani Idara zao zote za ' Kiusalama ' hasa hasa zile za Polisi na Jeshini ' wamepikwa ' na bado mara kwa mara Rais Museveni anawaleta Watendaji wake hao ' Kupikwa ' huku Tanzania au ' Trainers ' wetu wanaenda huko Uganda.

Tanzania 'Kiusalama' ni habari nyingine.
TISS miaka ya hivi karibuni imeyumba.

Kuna maamuzi yamefanyika nchini na yamegharimu maisha ya watu hao TISS ilibidi waepushe hayo mapema.
 
Rais wangu Samia,naomba ajira ,uniteue niwe Mkurugenzi mkuu wa TISS, hii kazi naipenda kuliko kazi zote Duniani.

Naipenda hii kazi kwa sababu naipenda sana nchi yangu Tanzania.

Sina chama chochote cha kiasiasa ninachokifia, Chama changu ni Tanzania.

Ukiniteua kwenye hii nafasi ,nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu.

Kwanini nasema nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu?

Rais wangu, Idara ya Usalama wa Taifa ktk Taifa lolote lile Duniani ndo Roho ya nchi, Idara ikiwa Dhaifu na Taifa linakuwa Dhaifu.

Uimara wa China kiuchumi kwa muda mfupi tu umetokana na Uimara Intelligence yao.

Hatuwezi kufika popote Kama Taifa bila kuwa na Idara imara.

Kila baada ya miezi miwili au mitatu Idara ya Usalama wa Taifa la Kenya kitengo cha Uchumi hukutana ili kuboresha mbinu za kuhakikisha Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda zinaendelea kununua Bidhaa nyingi za Kenya kuliko zenyewe kuuza Kenya, mambo ni mazito na magumu yanafanyika, na bado mipango mizito inafanywa ili tuendelee kununua zaidi Kenya kuliko kuuza.

Ukiniteua kwenye hii nafasi, nitaunda kikosi kazi maalumu ambacho kazi yake ni kwenda kuiba Technology ya kutengeneza Bidhaa muhimu kiuchumi.

Itahitaji maandalizi ya miaka mitatu au miwili kuandaa hiki kikosi.

Intelligence imara haina muda na Siasa uchwara na wala haitumiki kwa maslahi ya Watawala wasio na Hekima.

Rais wangu Samia, naomba ajira.
🤣🤣
 
Yule mtu mwenye ghadhabu niliyemwona juzi nilipokuwa Ikulu sidhani kama atafurahi mtu yoyote kuitamani kazi yake.
Lakini
kama unataka kuwa mkubwa wa TISS lazima ujue kuhusu CIA,FSB,MOSSAD,MI6.
 
Rais wangu Samia,naomba ajira ,uniteue niwe Mkurugenzi mkuu wa TISS, hii kazi naipenda kuliko kazi zote Duniani.

Naipenda hii kazi kwa sababu naipenda sana nchi yangu Tanzania.

Sina chama chochote cha kiasiasa ninachokifia, Chama changu ni Tanzania.

Ukiniteua kwenye hii nafasi ,nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu.

Kwanini nasema nitafanya maajabu kwa muda mfupi tu?

Rais wangu, Idara ya Usalama wa Taifa ktk Taifa lolote lile Duniani ndo Roho ya nchi, Idara ikiwa Dhaifu na Taifa linakuwa Dhaifu.

Uimara wa China kiuchumi kwa muda mfupi tu umetokana na Uimara Intelligence yao.

Hatuwezi kufika popote Kama Taifa bila kuwa na Idara imara.

Kila baada ya miezi miwili au mitatu Idara ya Usalama wa Taifa la Kenya kitengo cha Uchumi hukutana ili kuboresha mbinu za kuhakikisha Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda zinaendelea kununua Bidhaa nyingi za Kenya kuliko zenyewe kuuza Kenya, mambo ni mazito na magumu yanafanyika, na bado mipango mizito inafanywa ili tuendelee kununua zaidi Kenya kuliko kuuza.

Ukiniteua kwenye hii nafasi, nitaunda kikosi kazi maalumu ambacho kazi yake ni kwenda kuiba Technology ya kutengeneza Bidhaa muhimu kiuchumi.

Itahitaji maandalizi ya miaka mitatu au miwili kuandaa hiki kikosi.

Intelligence imara haina muda na Siasa uchwara na wala haitumiki kwa maslahi ya Watawala wasio na Hekima.

Rais wangu Samia, naomba ajira.
Tatizo hata kazi unayoiomba hujui inahusu nini inasimamiwa na sheria gani ,eti unaongelea mambo ya kuiba ,mkuu TISS ni kazi ya uzalendo na uadilifu sio ya kihuni .Hao kina makonda na sabaya nadhani ndo waliokuwa wanawadanganya vijana kuwa kazi ya tiss ni kupambana na maadui wa rais na kulinda maslahi ya nchi hata kwa kuvunja sheria .
 
Sijui ni nani anawadanganya ( amewadanganya ) kuwa kwa Ukanda wetu huu wa Maziwa Makuu Kenya wako vizuri sana Kiujasusi kuliko Tanzania.

Nashukuru Mungu na nashukuru pia kwa angalau kuweza Kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika na kubahatika kukutana na Watu wa hii Kada Nyeti wa nchi hizo huku nikiwa ni Raia wa kawaida tu.

Ninachojua likija Suala zima la Ujasusi ( Espionage ) kwa hapa Afrika ( tena kwa Kujiamini kabisa 100% ) Tanzania huenda ikazidiwa tu na nchi Tatu za Egypt, South Africa na Ethiopia ila siyo zingine.

Hawa Wakenya wako unaowasifia Kutwa wao Wenyewe tokea kutokee Mashambulizi ya Kigaidi huko Kwao wamekuwa wakija Kuomba Msaada wa Watu wetu ( Watanzania kutoka Idarani ) waweze Kuwasaidia na hata Kuwafunza zaidi Watu wao ( Wakenya )

Ungeniambia ( ungekuja na Hoja ) kwamba Wakenya wameamua Kuwekeza na ' Kujikita ' zaidi katika Ujasusi pekee wa Kiuchumi kidogo ningekuelewa ila Tanzania kwa miaka mingi ' imejikita ' katika ' Ujasusi ' wa jumla ambao hata ' Kimedani ' ndiyo una faida Kubwa kama waufanyao Israel ( Wayahudi )

Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa kwa hapa Afrika na hata Ukanda wetu huu sijaona nchi ya Kushindana ' Kiujasusi ' na Tanzania na hakuna Taifa ' linaloogopeka ' kwa Unjagu ( Ujasusi ) Barani Afrika na hata baadhi ya nchi Kubwa ( Mataifa Makubwa ) yanaiogopa kama Tanzania.

Popote mlipo TISS Agents tembeeni Vifua mbele, tunajivunia Uimara na Utendaji wenu ulioandaliwa vyema ' Kimisingi ' Imara ya ' Kiujasusi ' tokea enzi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hadi hivi Sasa. Watanzania leo tuna huu Ustawi, Amani na Uhuru kutokana na Kufanya Kwenu Kazi ya Kutulinda ' Kiusalama ' ndani na nje ya mipaka huku mkishirikiana vyema tu na Idara Nyeti za Jeshi ( CMI )

Nchi pekee kwa Ukanda huu ambayo kidogo inakuja kwa Kasi ' Kiujasusi ' japo bado ina Safari ndefu ya Kuikuta Tanzania ni Rwanda ( ila nao wana Mapungufu ya Kimsingi ambayo yanawagharimu ) na kwa Uganda ndiyo kabisa hawatutishi kwa Ukanda huu kwani Idara zao zote za ' Kiusalama ' hasa hasa zile za Polisi na Jeshini ' wamepikwa ' na bado mara kwa mara Rais Museveni anawaleta Watendaji wake hao ' Kupikwa ' huku Tanzania au ' Trainers ' wetu wanaenda huko Uganda.

Tanzania 'Kiusalama' ni habari nyingine.
Popoma uliyetukuka,umepotea sana mkuu
 
Back
Top Bottom