Unajitafutia magonjwa ya moyo bure kwa kulazimisha legacy hewa.Acha waumbuke,imani yake imemtuma kumtetea Kikwete ili hayati Magufuli adhalilike,haya yana mwisho
Hakuna waongo kama awamu ya 5Mawaziri waongo namna hii ni wa kutilia mashaka hata wakiwa kwenye majadiliano
Ndiyo kashasema sasa mtamfanya nini?Mwambe aliwahi kukemewa na Rais Magufuli mkutanoni baada ya " kumsengenya" waziri Lukuvi.
Mtaumia sana roho zenuAcha waumbuke,imani yake imemtuma kumtetea Kikwete ili hayati Magufuli adhalilike,haya yana mwisho
Hii kitu nilikuwa sijaisikia. Kumbe jiwe la msingi lilishawekwa. Kumbe mambo yalikuwa yamefika mbali. Nini kiligeuza mambo yote hayo na sasa tunaenda kuanza upya au tunaendelea kutokea kwenye jiwe la msingi.Mawaziri waongo namna hii ni wa kutilia mashaka hata wakiwa kwenye majadiliano....
Mmakonde mwenzio yule!Ndiyo kashasema sasa mtamfanya nini?
Huo mkataba uliowekewa jiwe la msingi ndio uliokataliwa na Magufuli.Hii kitu nilikuwa sijaisikia. Kumbe jiwe la msingi lilishawekwa. Kumbe mambo yalikuwa yamefika mbali. Nini kiligeuza mambo yote hayo na sasa tunaenda kuanza upya au tunaendelea kutokea kwenye jiwe la msingi...
Wanafikiri watanzania ni wajinga ,acha wahalalishe hiyo dhulma ,siku moja watawjibika,kama si wao basi vizazi vyaoHuo mkataba uliowekewa jiwe la msingi ndio uliokataliwa na Magufuli.
Una madudu ya kutisha
Kama jiwe la msingi liliwekwa kwa nini wasiendelee hapo?Hapna wala si mwambe mkuuu rais wenu ndio ndio mpango wake kweli unataka kuniambia hakuna hata document yyote iliyofik MEZANI KWA JPM WAKATI HUO?
2 Je kweli jpm alikuwa mpuuuz kiasi kwamba hakuona potentiall na mradi huo?
3 je jpm alitudanganya na yy kuwa wachina walikuja na matakwa ya hovyo? Au jmp nae aliingizwa changa na watu wake?
Je mwambe awamu y 5 hakuwepo?
4 mkataba uwekwe hadharani ndio jambo la msing sana
Je kweli kwenye hili rais wenu mkuuu amejiridhisha au kikwete ndio karidhika?
Kwako mkuuu Kiturilo
Mwambe asiishie kutueleza kutokuwepo kwa mkataba. Atujulishe rasmi kwamba Magufuli alilidanganya taifa.Waziri wa uwekezaji mh Mwambe amenukuliwa akisema kuwa hakuna mkataba wowote wa bandari ya Bagamoyo uliowahi kusainiwa huku akisahau kuwa mwaka 2015 rais wa awamu ya nne Mh Jakaya Kikwete alizindua ujenzi wa bandari hiyo.
Je, Kikwete alizindua ujenzi bila mkataba wowote?
Waziri Mwambe unamdanganya nani?
Jionee mwenyewe kwenye video hii.
Agizo la mkuuu wake mkuuu hujasikia kasema rais ndio amemuagizaKama jiwe la msingi liliwekwa kwa nini wasiendelee hapo?
Kwa nini waziri Mwambe anaitisha majadiliano upya?
Masikini Mjane wa watu umetia huruma mnoo.Acha waumbuke,imani yake imemtuma kumtetea Kikwete ili hayati Magufuli adhalilike,haya yana mwisho
Nakumbuka,huyu jamaa ni hopeless sana ,halafu anajifili sanaMwambe aliwahi kukemewa na Rais Magufuli mkutanoni baada ya " kumsengenya" waziri Lukuvi.
Naomba link mkuuMwambe aliwahi kukemewa na Rais Magufuli mkutanoni baada ya " kumsengenya" waziri Lukuvi.