Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,880
- 12,168
mie nadhani ni miongoni mwa vijana makini, hodari na mahiri sana jukwaani akipata nafasi hasa mbele za watu wengi mashuhuri na wakawaida.Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.
Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.
Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.
Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.
Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.
Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
sijapta fursa ya kukaa nae karibu meza moja tukiwa wachache, kuona namna anavyo buni, anavyojadili, anavyojenga hoja au kushauri mipango au masula mbalimbali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi 🐒
kilicho bayana ni kwaamba,
Makonda sio mchoyo na wala hajivungi kusema, kukemea au kushauri kuhusu analojua, analowaza au kuliona. hiyo ni karama ya wazi kabisa aliyonayo huyu muugwana 🐒
udhaifu wake mkubwa ni kushindwa kujizuia au kujidhibiti katika kuweka wazi anayoyajua. Hawezi kabisa kua na kiasi au kujibakiza ananajitoa mazima mazima 🐒
Kiufupi Makonda ni aina ya watu wenye maamuzi magumu regardless ya impacts za maamuzi hayo
he is determined, focused, ambitions and very committed 🐒
Be blessed much gentleman 🐒