Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kwa hiyo ni kama Uchaguzi wao ule na ujio wa Manzoki au timu pekee Kupigwa ndani nje robo fainali na mapichapicha na Mayele? CCM kuweni serious basi.
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings are normally well planned, organized and executed in order to achieve, a certain political objectives 🐒

RC makonda statement is very significant politically speaking...

is it ex dentally or planned statement ?

who is the targeted individual within the government?

what is the objective of the statement politically?

is it a trap layed down for that targeted individual personal to respond and then kicked out of the government like what happened to former speaker of the National assembly?

is it ground for the next cabinet and government reshafle, as we are heading to serikali za mtaa elections soon at the end of the yr 2024🐒

let's wait and see 🐒
 
in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings are normally well planned, organized and in a very technically executed in order to achieve, a certain political objectives 🐒

RC makonda statement is very significant politically speaking...

is it ex dentally or planned statement ?

who is the targeted individual within the government?

what is the objective of the statement politically?

is it a trap layed down for that targeted individual personal to respond and then kicked out of the government like what happened to former speaker of the National assembly?

is it ground for the next cabinet and government reshafle, as we are heading to serikali za mtaa elections soon at the end of the yr 2024🐒

let's wait and see 🐒
Umenusa PDF mpya sio!
 
Ni kweli.

Kauli ya Makonda inamfitinisha Samia na watendaji wake ndani ya chama na serikali.

Kauli hii pia inamfitinisha Samia na mkuu wa usalama nchini. Yaani kwamba Kuna taarifa za kumchafua rais Makonda anazijua halafu mkuu wa usalama hajui? Na kama anajua mbona hajamwambia rais Samia?
unajuaje pengine mana anazo?
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Vipi kama makonda ni KARATA ya mama yetu kipenzi.
Kwamba anafahamu madudu ya watu anamtumia makonda kusema?.

Nawaza mama kamtuma kaka Makonda kusema hivyo ili kusent a message.

Ninachoamini Politics is a game either shine or go crazy.
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Hivi kwa akili yako ndogo unafikiri amesema tuu! Yani wewe unafikiri unajua zaidi ya Samia 😂😂😂😂😂😂😂
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Kweli kabisa

Machalii wa Chuga wana msemo wao ukicheka na kima utavuna mabua.

Sasa ni kulekule ngendere tayari yumo kondeni, hakika Samia atavuna mabua

Nimekaa palee👉
 
Sijui kwa Nini Leo nikiwa Saloon nanyolewa, Nimetafakari Muda Maghufuli (RIP) amenyolewa hadi Muda ameanza kuugua.
 
Vipi kama makonda ni KARATA ya mama yetu kipenzi.
Kwamba anafahamu madudu ya watu anamtumia makonda kusema?.

Nawaza mama kamtuma kaka Makonda kusema hivyo ili kusent a message.

Ninachoamini Politics is a game either shine or go crazy.
Inawezekana pia.
 
in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings are normally well planned, organized and in a very technically executed in order to achieve, a certain political objectives 🐒

RC makonda statement is very significant politically speaking...

is it ex dentally or planned statement ?

who is the targeted individual within the government?

what is the objective of the statement politically?

is it a trap layed down for that targeted individual personal to respond and then kicked out of the government like what happened to former speaker of the National assembly?

is it ground for the next cabinet and government reshafle, as we are heading to serikali za mtaa elections soon at the end of the yr 2024🐒

let's wait and see 🐒
Sio wote tumesoma shule zenye school bus 😂😂
 
Back
Top Bottom