Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,733
- 15,196
Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma
Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati Magufuli alitangaza uamuzi wa kishujaa kuhamia Dododma. Napenda kutumia fursa hii kutangaza kuwa serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza uamuzi ule kama sehemu moja wapo ya kuenzi maono ya shujaa wetu Hayati Julias Kambarage Nyerere.
Naomba mniruhusu nirudie wito wa Hayati Magufuli kwamba Makao Makuu ya Tanzania ni hapa jijini Dodoma na hakuna kurudi nyuma. Jitihada za kujenga jiji la makao makuu ya taifa zimeendeezwa kama mnavyojionea wenyewe. Mpaka sasa ujenzi wa awamu ya pili pale Mtumba au Magufuli City unaohusisha majengo ya kudumu yatakayohusisha watumishi wote bado unaendelea.
Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati Magufuli alitangaza uamuzi wa kishujaa kuhamia Dododma. Napenda kutumia fursa hii kutangaza kuwa serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza uamuzi ule kama sehemu moja wapo ya kuenzi maono ya shujaa wetu Hayati Julias Kambarage Nyerere.
Naomba mniruhusu nirudie wito wa Hayati Magufuli kwamba Makao Makuu ya Tanzania ni hapa jijini Dodoma na hakuna kurudi nyuma. Jitihada za kujenga jiji la makao makuu ya taifa zimeendeezwa kama mnavyojionea wenyewe. Mpaka sasa ujenzi wa awamu ya pili pale Mtumba au Magufuli City unaohusisha majengo ya kudumu yatakayohusisha watumishi wote bado unaendelea.