Rais Samia: Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,733
15,196
Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma

Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati Magufuli alitangaza uamuzi wa kishujaa kuhamia Dododma. Napenda kutumia fursa hii kutangaza kuwa serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza uamuzi ule kama sehemu moja wapo ya kuenzi maono ya shujaa wetu Hayati Julias Kambarage Nyerere.

Naomba mniruhusu nirudie wito wa Hayati Magufuli kwamba Makao Makuu ya Tanzania ni hapa jijini Dodoma na hakuna kurudi nyuma. Jitihada za kujenga jiji la makao makuu ya taifa zimeendeezwa kama mnavyojionea wenyewe. Mpaka sasa ujenzi wa awamu ya pili pale Mtumba au Magufuli City unaohusisha majengo ya kudumu yatakayohusisha watumishi wote bado unaendelea.
 
Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma

Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati Magufuli alitangaza uamuzi wa kishujaa kuhamia Dododma. Napenda kutumia fursa hii kutangaza kuwa serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza uamuzi ule kama sehemu moja wapo ya kuenzi maono ya shujaa wetu Hayati Julias Kambarage Nyerere.

Naomba mniruhusu nirudie wito wa Hayati Magufuli kwamba Makao Makuu ya Tanzania ni hapa jijini Dodoma na hakuna kurudi nyuma. Jitihada za kujenga jiji la makao makuu ya taifa zimeendeezwa kama mnavyojionea wenyewe. Mpaka sasa ujenzi wa awamu ya pili pale Mtumba au Magufuli City unaohusisha majengo ya kudumu yatakayohusisha watumishi wote bado unaendelea.
 
Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma

Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati Magufuli alitangaza uamuzi wa kishujaa kuhamia Dododma. Napenda kutumia fursa hii kutangaza kuwa serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza uamuzi ule kama sehemu moja wapo ya kuenzi maono ya shujaa wetu Hayati Julias Kambarage Nyerere.

Naomba mniruhusu nirudie wito wa Hayati Magufuli kwamba Makao Makuu ya Tanzania ni hapa jijini Dodoma na hakuna kurudi nyuma. Jitihada za kujenga jiji la makao makuu ya taifa zimeendeezwa kama mnavyojionea wenyewe. Mpaka sasa ujenzi wa awamu ya pili pale Mtumba au Magufuli City unaohusisha majengo ya kudumu yatakayohusisha watumishi wote bado unaendelea.
aseme kwa utawala wake ambao unaishia 2025. Baada ya hapo anayekuja ataamua vyake as long as Rais ana mamlaka ya kufanya lolote! And we are all hopeless especially you so called Etwege!
 
Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma

Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati Magufuli alitangaza uamuzi wa kishujaa kuhamia Dododma. Napenda kutumia fursa hii kutangaza kuwa serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza uamuzi ule kama sehemu moja wapo ya kuenzi maono ya shujaa wetu Hayati Julias Kambarage Nyerere.

Naomba mniruhusu nirudie wito wa Hayati Magufuli kwamba Makao Makuu ya Tanzania ni hapa jijini Dodoma na hakuna kurudi nyuma. Jitihada za kujenga jiji la makao makuu ya taifa zimeendeezwa kama mnavyojionea wenyewe. Mpaka sasa ujenzi wa awamu ya pili pale Mtumba au Magufuli City unaohusisha majengo ya kudumu yatakayohusisha watumishi wote bado unaendelea.
aseme kwa utawala wake ambao unaishia 2025. Baada ya hapo anayekuja ataamua vyake as long as Rais ana mamlaka ya kufanya lolote! And we are all hopeless especially you so called Etwege!
 
Ndio, anuani rasmi Mtumba hakuna cha magufuli city labda ikaitwe chato
Duuuuu...kwanhiyo kwenye anuani hairuhusiwi kuweka Magufuli city..kwani nani amekataza au wewe una personal gradges.....jomba...Basi nikwambie kuanzia Sasa kwenye anuani Magufuli City itaanza kutumika....kama hutaki nenda kalambe ndimu ujinyonge
Kwanza umesikia Mama katamka nini Jana huko Dodoma
 
Ndio, anuani rasmi Mtumba hakuna cha magufuli city labda ikaitwe chato
Duuuuu...kwanhiyo kwenye anuani hairuhusiwi kuweka Magufuli city..kwani nani amekataza au wewe una personal gradges.....jomba...Basi nikwambie kuanzia Sasa kwenye anuani Magufuli City itaanza kutumika....kama hutaki nenda kalambe ndimu ujinyonge
 
Back
Top Bottom