The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.👇
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.👇