ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,011
- 50,735
Yule Rais Hichilema ambae Chadema Huwa Wanajidai ni role model wao anamkubali sana Rais Samia kiasi Cha kumpa heshima ya kuwa mgeni Rasmi.
Chedema mnazidi kupuuzwa ndani na Nje ya Nchi π€£π€£π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/CyqGx_jq16z/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Samia ni role model wa Africa, tafuteni kazi ya kufanya 2025.
Haki CCM ni shimo la choo.... imagine huyu ni msomi na mchambuzi wao huko kwao... Pathetic!Yule Rais Hichilema ambae Chadema Huwa Wanajidai ni role model wao anamkubali sana Rais Samia kiasi Cha kumpa heshima ya kuwa mgeni Rasmi.
Chedema mnazidi kupuuzwa ndani na Nje ya Nchi π€£π€£π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/CyqGx_jq16z/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Samia ni role model wa Africa, tafuteni kazi ya kufanya 2025.
Wewe ni mpumbavu tu hakuna kingine chochote unachojua,kwani kualikwa ndiyo role model au ni ushirikiano uliasisiwa na Julius Nyerere na Kenneth Kaunda na ndiyo maana hizi nchi zote zina Reli inayoziunganisha na inajulikana kwa jina la RELI YA UHURU(TAZARA)Yule Rais Hichilema ambae Chadema Huwa Wanajidai ni role model wao anamkubali sana Rais Samia kiasi Cha kumpa heshima ya kuwa mgeni Rasmi.
Chedema mnazidi kupuuzwa ndani na Nje ya Nchi π€£π€£π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/CyqGx_jq16z/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Samia ni role model wa Africa, tafuteni kazi ya kufanya 2025.
Wewe ni mpumbavu tu hakuna kingine chochote unachojua,kwani kualikwa ndiyo role model au ni ushirikiano uliasisiwa na Julius Nyerere na Kenneth Kaunda na ndiyo maana hizi nchi zote zina Reli inayoziunganisha na inajulikana kwa jina la RELI YA UHURU(TAZARA)
Mtatukana sana mwaka huu na kuzirai chini maana Rais samia anaendelea kusonga mbele kwa kishindo kinachoitetemesha Afrika nzimaWewe ni mpumbavu tu hakuna kingine chochote unachojua,kwani kualikwa ndiyo role model au ni ushirikiano uliasisiwa na Julius Nyerere na Kenneth Kaunda na ndiyo maana hizi nchi zote zina Reli inayoziunganisha na inajulikana kwa jina la RELI YA UHURU(TAZARA)
Asonge tu maana ni muda wake na wala hakuna shida yoyote.Mtatukana sana mwaka huu na kuzirai chini maana Rais samia anaendelea kusonga mbele kwa kishindo kinachoitetemesha Afrika nzima
Hata chadema wenyewe wanamkubali sana Mama Samia.Yule Rais Hichilema ambae Chadema Huwa Wanajidai ni role model wao anamkubali sana Rais Samia kiasi Cha kumpa heshima ya kuwa mgeni Rasmi.
Chedema mnazidi kupuuzwa ndani na Nje ya Nchi π€£π€£π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/CyqGx_jq16z/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Samia ni role model wa Africa, tafuteni kazi ya kufanya 2025.
Hata kwenye vichakani anakubarika sana ..nani kama mama.Yule Rais Hichilema ambae Chadema Huwa Wanajidai ni role model wao anamkubali sana Rais Samia kiasi Cha kumpa heshima ya kuwa mgeni Rasmi.
ONA HATA BARAKA NDANI YA TIMU ZETU ONA WAGENI WANAVYOMIMINIKA, HUKO KENYA NI GUMZO HIVI LEO!, KWA UTENDAJI SAFI HASA KATIKA TASNIA ZOTE, ELIMU,Mwaka huu CHADEMA watapasukaa kwa hasira maana Rais wetu Anaendelea kuchanja mbuga tu katika mioyo ya wana Afrika. Rais samia ni kioo kwa Bara la Afrika. Kila mtu na kila kiongozi anatamani kujifunza kutoka kwake. Mungu amjalie maisha marefu yenye heri na Baraka mh Rais wetu Dr Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, jasiri muongoza njia,chuma cha Reli,shujaa wa Afrika na Nuru ya wanyonge.
Umesahau kuweka number yako ya simu.Mwaka huu CHADEMA watapasukaa kwa hasira maana Rais wetu Anaendelea kuchanja mbuga tu katika mioyo ya wana Afrika. Rais samia ni kioo kwa Bara la Afrika. Kila mtu na kila kiongozi anatamani kujifunza kutoka kwake. Mungu amjalie maisha marefu yenye heri na Baraka mh Rais wetu Dr Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, jasiri muongoza njia,chuma cha Reli,shujaa wa Afrika na Nuru ya wanyonge.
Mama Abdul ndio Rais wa Tanzania,angekuwa wa hovyo kama Machadomo asingealikwaHuu ndio ujinga hata kuusoma ni basi, kwani unadhani ni mwaliko wa Mama Abdul au kwa Rais wa Tanzania?
π¨π¨π¨π¨ π€£π€£Tembea mama. Tembea sana mpk ujulikane dunia yote.
Lkn kumbuka huku nyumbani kwako tunahitaji katiba mpya iliyo bora, ili tukudbibiti na kukupunguzia madaraka.
Acha AendeHata kwenye vichakani anakubarika sana ..nani kama mama.