mekuoko
JF-Expert Member
- Nov 15, 2012
- 418
- 365
Na matokeo ya simba day?Kapigwa narudia kapigwa
Na matokeo ya simba day?Kapigwa narudia kapigwa
Kibajaji na.GWAJI BOY wapo?Pole mkuu.
Ila kasema mwenyewe kaenda nq rundo la watu na wengine kwa sababu ya nafasi nadhani kwenye ndege aliwaomba watangulie.
Tangu zama za viongozi wa hovyo na mafisadi kama Kikwete, msafara wa rais uligeuzwa siri kutokana na kujaa watu wasio na ulazima kama wana familia, hawara zao hata waganga wao wa kienyeji. Kikwete ndiye alidumisha uhuni huu ambao unaanza kuzoeleka. Ni dalili za uhovyo wa serikali husika.Tumezoea kuonyeshwa mama anapotua airport mbalimbali akiwa na msafara wake. Hii safari ya Marekani hatujaonyeshwa akiondoka wala akitua Marekani?...
Hamnaga hiyo kitu. Tena kwa level za rais ana report kwa nani wkt yy ndio boss?
Gerson Msigwa akijaribu kukuelezea idadi ya wazururaji waliokwenda states na mama yaoTumezoea kuonyeshwa mama anapotua airport mbalimbali akiwa na msafara wake. Hii safari ya Marekani hatujaonyeshwa akiondoka wala akitua Marekani?...
Kuna majitu ya hovyo huwa yanamuona Jk kama mwokozi hiviTangu zama za viongozi wa hovyo na mafisadi kama Kikwete, msafara wa rais uligeuzwa siri kutokana na kujaa watu wasio na ulazima kama wana familia, hawara zao hata waganga wao wa kienyeji. Kikwete ndiye alidumisha uhuni huu ambao unaanza kuzoeleka. Ni dalili za uhovyo wa serikali husika.
Gerson Msigwa akijaribu kukuelezea idadi ya wazururaji waliokwenda states na mama yaoView attachment 1945492
Kwa rais mwajibivu hili lazima kwani hiyo pesa anayotumia si yake bali ya wananchi. Kama umezaliwa jana huwezi kulijua hili. Wakati wa awamu ya kwanza ilikuwa lazima kutoa orodha watu walioandamana na kiongozi wa nchi hata awamu ya tatu. Hata hivyo, walipokuja wahuni, wazinzi na wazuraraji mambo yakabadilika. Kama hakuna namna wanaficha nini? Pesa wanayotumia inatoka hazina na siyo mifukoni mwao wala mahawara zaoHamnaga hiyo kitu. Tena kwa level za rais ana report kwa nani wkt yy ndio boss?
kwanza sio lazima
Noma sana !Ngoja niende zangu BURUNDIView attachment 1945318
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kuna majitu ya hovyo huwa yanamuona Jk kama mwokozi hivi
Emirates angefika siku hio hio aliondoka.anyway tusubiri akirudi.Nafkiri ni commercial airline Emirates, maana kurusha dreamliner ni balaa.
Simba day asee ni kama hivyo.Mechi imemalizika na mechi ilikuwa nzuri nadhani mashabiki wameburudika vya kutoshaNa matokeo ya simba day?
Rais wa Zambia ameonyeshwa anaenda na ndege ya abiria ya Qatar.Si lazima si sheria na si tamaduni. Maswali yako yanataka ku reveal critical inormation kwenye masuala ya rais which si busara kiusalama
Balaa! Hela ya tozo Ipo.Nafkiri ni commercial airline Emirates, maana kurusha dreamliner ni balaa.
Balaa! Hela ya tozo Ipo.Nafkiri ni commercial airline Emirates, maana kurusha dreamliner ni balaa.
Emirates angefika siku hio hio aliondoka.anyway tusubiri akirudi.Masaa
Ndege anayosafiri nayo sio issue. Issue ni details za msafara wake.Rais wa Zambia ameonyeshwa anaenda na ndege ya abiria ya Qatar.
😀😀😀😀😀Kama kaenda na ATCL waue ndege wawili kwa jiwe moja. Ndege ifanyiwe service huko huko USA wamwage oil wabadilishe fillter na air cleaner.