Rais Samia itisha Press, ongea na Taifa kutuliza hali ya hewa

Rais Samia itisha Press, ongea na Taifa kutuliza hali ya hewa

Kitchener

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
13,823
Reaction score
27,694
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
  1. Itisha press, uongee na Taifa. Inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya, wewe upo kimya? Safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. Kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa, usisite. Kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo, fanya. Jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before it's too late for you.
  2. Batilisha ufugwaji wa makanisa. Watu wanakuona wewe kama Rais Muislam, unafanya hivyo kwa sababu una udini. Wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida. Hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga, siku ipite kuokoa legacy yako. Fungua uhuru wa kuabudu.
  3. Issue ya Tundu Lissu itakugarimu sana. Elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano. Kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. Kama adhabu TL umeshampa, inatosha. Dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake. Shida nini, kwani?
  4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa, na kuteka na kuua watu. CHADEMA hata wangesema no reform, no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.
  5. Au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda. Hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako. Wamekushauri tu vibaya. Zaidi sana wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.
  6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu. Watu watabadilika mioyo. Wazungu wakisababisha maandamano tu, watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani magumu kutokana na vikwazo. Wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. Hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. Hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.
  7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata), umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa gharama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka Ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha. Kijifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa. Tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.
  8. Anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako. Anakupoteza. Hata kama una jeshi, polisi, TISS n.k., wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa, hawaogopi. Pia, wazungu wakikuamlia, it will be too late for you. Nakushauri kwa nia njema kabisa.
  9. Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali. Futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho. Fukuza au badilisha washauri wako. Ukipenda, peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike. Utanishukuru. Mungu akusaidie.
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe, walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate, usipofuata ni hiari yako pia.

1. Itisha press uongee na Taifa, inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya wewe upo kimya? safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa usisite, kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo fanya, jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before its too late for you.

2. Batilisha ufugwaji wa makanisa, watu wanakuona wewe kama rais muislam unafanya hivyo kwa sababu una udini, wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida, hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga siku ipite kuokoa legacy yako, fungua uhuru wa kuabudu.

3. Issue ya Tundu Lisu itakugarimu sana, elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano, kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. kama adhabu TL umeshampa, inatosha, dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake, shida nini kwani?

4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa na kuteka na kuua watu. chadema hata wangesema no reform no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.

5. au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda, hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako,wamekushauri tu vibaya,zaidi san wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.

6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu, watu watabadilika mioyo, wazungu wakisababisha maandamano tu watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani maguvu kutokana na vikwazo, wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.

7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata) umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa garama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha, kiujifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa, tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.

8. anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako, anakupoteza. hata kama una jeshi, polisi, tiss n.k, wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa hawaogopi, pia wazungu wakikuamlia it will be too late for you. nakushauri kwa nia njema kabisa.

9. Mwisho, nakuomba, fungulai makanisa, ni doa kubwa kako, hao kina mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni wakristo, huwa tunawaona ni wapiga dili tu hata wao wanajijua. fungua makanisa watu wasali, futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho, fukuza au badilisha washauri wako, ukipenda peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike, utanishukuru. Mungu akusaidie.
Fomu ni moja tu
 
Hakuna haja hiyo

Hali ya hewa ambayo ni hewa ya mitandaoni

Mitaani na vijijini kuko shwari watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida

Wanaosali ambao lengo lao ni kuabu
du Mungu tu sio kitu kingine wanaendelea kusali kama kawaida bila kubughudhiwa na yeyote wakiendelea kutimiza haki yao ya kuabudu
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe, walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate, usipofuata ni hiari yako pia.

1. Itisha press uongee na Taifa, inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya wewe upo kimya? safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa usisite, kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo fanya, jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before its too late for you.

2. Batilisha ufugwaji wa makanisa, watu wanakuona wewe kama rais muislam unafanya hivyo kwa sababu una udini, wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida, hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga siku ipite kuokoa legacy yako, fungua uhuru wa kuabudu.

3. Issue ya Tundu Lisu itakugarimu sana, elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano, kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. kama adhabu TL umeshampa, inatosha, dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake, shida nini kwani?

4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa na kuteka na kuua watu. chadema hata wangesema no reform no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.

5. au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda, hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako,wamekushauri tu vibaya,zaidi san wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.

6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu, watu watabadilika mioyo, wazungu wakisababisha maandamano tu watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani maguvu kutokana na vikwazo, wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.

7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata) umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa garama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha, kiujifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa, tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.

8. anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako, anakupoteza. hata kama una jeshi, polisi, tiss n.k, wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa hawaogopi, pia wazungu wakikuamlia it will be too late for you. nakushauri kwa nia njema kabisa.

9. Mwisho, nakuomba, fungulai makanisa, ni doa kubwa kako, hao kina mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni wakristo, huwa tunawaona ni wapiga dili tu hata wao wanajijua. fungua makanisa watu wasali, futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho, fukuza au badilisha washauri wako, ukipenda peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike, utanishukuru. Mungu akusaidie.
Usimshitue.

Kamwe usimkatishe adui yako anapofanya makosa.
 
Hakuna haja hiyo

Hali ya hewe ambayo ni hewa ya mitandaoni

Mitaani na vijijini kuko shwari watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida

Wanaosali ambao lengo lao ni kuabu
du Mungu tu sio kitu kinginr wanaendelea kusali kama kawaida bila kubughudhiwa na yeyote wakiendelea kutimiza haki yao ya kuabudu
hicho kikao walichokaa wazungu jana, ukiona wameweka resolutions, wataziweka ngumu, vikwazo na shida ambazo raia wa kawaida ndio wataumia. mark my words. unasema ni mitandaoni ila hata mtaani watu hawaridhiki.
 
9. Mwisho, nakuomba, fungulai makanisa, ni doa kubwa kako, hao kina mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni wakristo, huwa tunawaona ni wapiga dili tu hata wao wanajijua. fungua makanisa watu wasali, futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho, fukuza au badilisha washauri wako, ukipenda peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike, utanishukuru. Mungu akusaidie.
Labda aitishe press ya kwenye mitandao ya jamii maana ndiyo kuna hali mbaya. Otherwise wa Tz wako busy kupambana na fursa za kiuchumi.

Nimepita jana Vikindu, Mbagala, Temeke na Ilala wa Tz wanapigania maisha ya familia zao. Hiyo hatari unayoiona kwenye andiko lako ni ya kufikirika tu. Kwenye ground watu wanasubiri kutiki OKTOBA
 
Hakuna haja hiyo

Hali ya hewe ambayo ni hewa ya mitandaoni

Mitaani na vijijini kuko shwari watu wanaendelea na maisha yao kama kawaida

Wanaosali ambao lengo lao ni kuabu
du Mungu tu sio kitu kinginr wanaendelea kusali kama kawaida bila kubughudhiwa na yeyote wakiendelea kutimiza haki yao ya kuabudu
Naunga mkono hoja
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe, walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate, usipofuata ni hiari yako pia.

1. Itisha press uongee na Taifa, inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya wewe upo kimya? safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa usisite, kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo fanya, jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before its too late for you.

2. Batilisha ufugwaji wa makanisa, watu wanakuona wewe kama rais muislam unafanya hivyo kwa sababu una udini, wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida, hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga siku ipite kuokoa legacy yako, fungua uhuru wa kuabudu.

3. Issue ya Tundu Lisu itakugarimu sana, elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano, kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. kama adhabu TL umeshampa, inatosha, dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake, shida nini kwani?

4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa na kuteka na kuua watu. chadema hata wangesema no reform no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.

5. au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda, hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako,wamekushauri tu vibaya,zaidi san wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.

6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu, watu watabadilika mioyo, wazungu wakisababisha maandamano tu watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani maguvu kutokana na vikwazo, wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.

7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata) umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa garama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha, kiujifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa, tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.

8. anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako, anakupoteza. hata kama una jeshi, polisi, tiss n.k, wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa hawaogopi, pia wazungu wakikuamlia it will be too late for you. nakushauri kwa nia njema kabisa.

9. Mwisho, nakuomba, fungulai makanisa, ni doa kubwa kako, hao kina mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni wakristo, huwa tunawaona ni wapiga dili tu hata wao wanajijua. fungua makanisa watu wasali, futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho, fukuza au badilisha washauri wako, ukipenda peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike, utanishukuru. Mungu akusaidie.
Unataka kumchuza eeeeh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Huyo akipewa kipaza sauti aongee atatoa boko na kuzua taharuki kuliko unavyofikilia.
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe, walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate, usipofuata ni hiari yako pia.

1. Itisha press uongee na Taifa, inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya wewe upo kimya? safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa usisite, kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo fanya, jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before its too late for you.

2. Batilisha ufugwaji wa makanisa, watu wanakuona wewe kama rais muislam unafanya hivyo kwa sababu una udini, wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida, hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga siku ipite kuokoa legacy yako, fungua uhuru wa kuabudu.

3. Issue ya Tundu Lisu itakugarimu sana, elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano, kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. kama adhabu TL umeshampa, inatosha, dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake, shida nini kwani?

4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa na kuteka na kuua watu. chadema hata wangesema no reform no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.

5. au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda, hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako,wamekushauri tu vibaya,zaidi san wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.

6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu, watu watabadilika mioyo, wazungu wakisababisha maandamano tu watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani maguvu kutokana na vikwazo, wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.

7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata) umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa garama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha, kiujifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa, tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.

8. anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako, anakupoteza. hata kama una jeshi, polisi, tiss n.k, wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa hawaogopi, pia wazungu wakikuamlia it will be too late for you. nakushauri kwa nia njema kabisa.

9. Mwisho, nakuomba, fungulai makanisa, ni doa kubwa kako, hao kina mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni wakristo, huwa tunawaona ni wapiga dili tu hata wao wanajijua. fungua makanisa watu wasali, futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho, fukuza au badilisha washauri wako, ukipenda peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike, utanishukuru. Mungu akusaidie.
asanti kwa kutumia uhuru na haki yako ya kikatiba ya kutoa maoni sambamba na waTanzania wengine

Maoni ya wachache yataheshimiwa tu na yale ya wengi yatazingatiwa ikiwa inafaa.

waambie na wengine 🐒
 
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
  1. Itisha press, uongee na Taifa. Inakuwaje mambo mengi yanaendelea vibaya, wewe upo kimya? Safisha hali ya hewa, watu watasahau, watarudisha mioyo nyuma na maisha yataendelea vizuri kwako. Kama ni kufuta watu kazi waliokufikisha hapa, usisite. Kama ni kutoa maelekezo kurekebisha mambo, fanya. Jiondoe kwenye lawama huku ukitoa maelekezo ya kuweka mambo sawa before it's too late for you.
  2. Batilisha ufugwaji wa makanisa. Watu wanakuona wewe kama Rais Muislam, unafanya hivyo kwa sababu una udini. Wanadamu hupishana kauli, ni kitu cha kawaida. Hata kama umenena mengi mabaya juu ya kanisa, jifanye mjinga, siku ipite kuokoa legacy yako. Fungua uhuru wa kuabudu.
  3. Issue ya Tundu Lissu itakugarimu sana. Elekeza DPP afute hizo kesi kwa sababu unapenda maridhiano. Kuridhiana sio kushindwa, ni kufuata maslahi mapana. Kama adhabu TL umeshampa, inatosha. Dunia nzima haikuelewi kwa sababu yake. Shida nini, kwani?
  4. Ulikuwa na uwezo kushinda uchaguzi bila hata kumfunga TL, kufuta makanisa, na kuteka na kuua watu. CHADEMA hata wangesema no reform, no election, kulikuwa na namna zingine kufanya kwa amani tu na ungeendelea na urais.
  5. Au tufanye hata ungeweka reforms, lazima ungeshinda. Hakuna chama cha upinzani kingechukua kiti chako. Wamekushauri tu vibaya. Zaidi sana wangepata wabunge wengi ila ungeendelea kuwa Rais hadi 2030.
  6. Umoja wa Ulaya watakuwekea vikwazo, utakosa pesa ya kuendesha nchi, maisha mtaani yatakuwa magumu. Watu watabadilika mioyo. Wazungu wakisababisha maandamano tu, watu wengi watakuwa na mwitikio kwa sababu tayari maisha mtaani magumu kutokana na vikwazo. Wataandamana, watakutoa mkuku mkuku madarakani. Hii ndio njia ya wazungu kuwatoa wale wasiowapenda. Hawa hawa machawa wanaokushabikia, wazungu wakiamua wanaweza kuwabadilisha mioyo kwa njia ya vikwazo, ukageukwa, wakaandamana na kukutoa madarakani.
  7. Tayari ulishajenga jina na kurudisha mahusiano na nchi za nje, lakini kwa kupambania cheo (ambacho hata ingekuwaje ungekipata), umeharibu mahusiano yote uliyoyajenga kwa gharama kubwa ya kodi zetu ulipokuwa unazunguka Ulaya. Haujachelewa, chukua hatua stahiki kujisahihisha. Kijifanya mjinga siku ipite, hautapungukiwa. Tuliza nchi kwa kuondoa yale yanayokera raia.
  8. Anayekushauri utumie mabavu kwenye kila kitu, mwondoe kwenye washauri wako. Anakupoteza. Hata kama una jeshi, polisi, TISS n.k., wananchi wakichoka huwa wanakuwa tayari hata kufa, hawaogopi. Pia, wazungu wakikuamlia, it will be too late for you. Nakushauri kwa nia njema kabisa.
  9. Mwisho, nakuomba: fungua makanisa, ni doa kubwa kako. Hao kina Mwamposa wanakudanganya, hata hawahesabiki kama ni Wakristo. Huwa tunawaona ni wapiga dili tu, hata wao wanajijua. Fungua makanisa watu wasali. Futa kikundi cha utekaji na uuaji hicho. Fukuza au badilisha washauri wako. Ukipenda, peleka uchaguzi mbele mwaka mmoja au miwili ili reform zifanyike. Utanishukuru. Mungu akusaidie.
Maneno ya Busara sana,kina Lukas Mwashambwa na nduguye tlaahtlaah hawayawezi haya!
 
Back
Top Bottom