Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

Ndiyo maana nakwambia sheria ifatwe kwa yeyote awaye, kama unaamua kuwa mnyonge ukijua sheria itapindishwa ukajenge kibanda cha kuuza maji sehemu yeyote litakuja kukuumiza hilo. Usipotumia akili utatapeliwa kama mlivyotapeliwa na Jiwe, akifa utarudi kulia tena humu. Chukia umasikini zaidi hata ya CCM utafika mbali.

sheria ikifatwa vyema mtaumia wengi,ila mmapata ashki sababu wanaoguswa ni wafuasi wa jiwe awamu hii,kwa vile tunaelewa kinachowapa orgasm hatuna wasi wasi na hilo,muda wa kilio na yowe wala hauko mbali tena.
 
Kingine, hujui kuwa kuna levels when it comes kwenye ishu za utajiri, au unajua kila mtu akisema ni tajiri basi yuko level za Bill Gate au Mo?

mimi ninachojua hakuna tajiri yeyote atakayekwambia mimi ni tajiri.

level nafahamu zipo,ila matajiri wa michongo huwa wanatetereshwa na chochote tu.
 
Matajiri wote wanategemea sera rafiki kufanikiwa, kukua, kama Wananchi wote popote pale duniani.

Kodi, masoko, bei za chakula, mafuta,ajira, elimu, afya, usafiri zinaratibiwa na serikali.

Sera, mazingira wezeshi ni kila kitu. Tesla wanaenda Texas kutoka California sababu ya Mazingira wezeshi, kodi rafiki. Sera zinazoeleweka.

Mo Dewji, Bakhresa, Diamond, Vunjabei enzi za Nyerere wasingetoboa.

sasa inakuwaje tajiri A anatoboa,kapuku B analalamika mazingira wezeshi???
 
mimi ninachojua hakuna tajiri yeyote atakayekwambia mimi ni tajiri.

level nafahamu zipo,ila matajiri wa michongo huwa wanatetereshwa na chochote tu.
Elewa nachotaka ujue ni kuwa mimi sipendi huo umasikini /unyonge wako ndiyo mana nakupa ushauri wa kuacha kujiita mnyonge, jiamini na waza mambo makubwa kuliko kuwaza mambo ya banda la kuuzia maji baridi, ukiacha ushabiki na kufata haya ninayokushauri utafika mbali na hata afe/azeeke nani still utajisimamia kwa miguu yako
 
sheria ikifatwa vyema mtaumia wengi,ila mmapata ashki sababu wanaoguswa ni wafuasi wa jiwe awamu hii,kwa vile tunaelewa kinachowapa orgasm hatuna wasi wasi na hilo,muda wa kilio na yowe wala hauko mbali tena.
Kingine acha kuwa na negative mind set, be humble and positive person. Jiwe amekufa na wewe ulikosea kujiita mnyonge basi, move on, chukulia kama bad experience uliyopitia sababu ya kutokuwa na taarifa sahihi.
 
Elewa nachotaka ujue ni kuwa mimi sipendi huo umasikini /unyonge wako ndiyo mana nakupa ushauri wa kuacha kujiita mnyonge, jiamini na waza mambo makubwa kuliko kuwaza mambo ya banda la kuuzia maji baridi, ukiacha ushabiki na kufata haya ninayokushauri utafika mbali na hata afe/azeeke nani still utajisimamia kwa miguu yako

wewe ni mtu mmoja hivi ambaye unasumbuliwa na ubinafsi,uroho,umimi nk.
ndio maana nikakataa toka mwanzo huna utajiri unaouandika hapa,maana tajiri akiishafauru kuitwa tajiri huwa hasimangi masikini hata siku moja.
mtu kuitwa au kujiita mnyonge sio laana wala udhaifu,ni hali aliyo nayo.

mawazo makubwa sio kuwaza nje ya banda la maji baridi kabla ya kuwa nalo,hizo ni ndoto wala hakuna tajiri alikuwa na mawazo mzuka kama hayo.mafanikio ni hatua,sawa tajiri wa jf
 
Kingine acha kuwa na negative mind set, be humble and positive person. Jiwe amekufa na wewe ulikosea kujiita mnyonge basi, move on, chukulia kama bad experience uliyopitia sababu ya kutokuwa na taarifa sahihi.

taarifa sahihi ya jambo gani!!!

niko negative ktk nini???
nakoseaje kujiita mnyonge kama kweli ni mnyonge!!!

aliposema nchi hii ni tajiri mlibeza kwamba hakuna kitu cha maana anaongea huyu kichaa,aliposema nyinyi ni wanyonge mkasema anadharau!!!!
boss kuwa na akili ni jambo moja,na kuzitumia ni jambo jingine.
 
sasa inakuwaje tajiri A anatoboa,kapuku B analalamika mazingira wezeshi???

Wakati wa utawala wa Hitler, USSR, Iddi Amini, North Korea, Rwanda leo (Kagame), Uganda leo (Museveni) unafikiri ungetoboa sababu bidhaa zako ni za viwango, nzuri kuliko wote.

Kwanini unafikiri mfanyabiashara, makampuni makubwa yatatoa michango kwa vyama tawala, serikali, taasisi za serikali.

Wanachangia wabunge, vyombo vya habari vyenye ushawishi mkubwa kwenye nchi?
 
Wakati wa utawala wa Hitler, USSR, Iddi Amini, North Korea, Rwanda leo (Kagame), Uganda leo (Museveni) unafikiri ungetoboa sababu bidhaa zako ni za viwango, nzuri kuliko wote.

Kwanini unafikiri mfanyabiashara, makampuni makubwa yatatoa michango kwa vyama tawala, serikali, taasisi za serikali.

Wanachangia wabunge, vyombo vya habari vyenye ushawishi mkubwa kwenye nchi?

tena sera moja wapo ya hitler ilikuwa ni hii,tengeneza bidhaa bora yoyote kuliko uliyowahi kuitengeneza,ndipo kipindi hicho ikazaliwa mercedes.

huyo mwenzako hapo juu nimemwambia hakuna tajiri anayetetereshwa na utawala ukiona tajiri wa hivyo kisha anabaki kulia lia kama yeye ujue ni wa mchongo.
 
hakuna mtu asiyependa pesa,kinachozuia mtu asiibe pesa ni sheria kali ama ukali wa kiongozi wa nchi.

huyu anayesema wezi waache mara moja kutorosha madini tusitegemee maajabu kwake.
Haya mawazo ya namna hii ndiyo ujinga wenyewe na siyo ya mwananchi mzalendo.
Lazima tujenge utamaduni wa kuaminiana na kuridhika katika hali ya kawaida.
Anayewaza wengine wezi ana msingi wa wizi ndani yake.
Ili kuondokana na wizi tuwezeshe wananchi wenye mawazo chanya, tuwape nafasi. Serikali ikishirikiana sekta binafsi inaweza kudhibiti wizi wa wageni.
Watumishi wa serikali huwa hawana maamuzi huru na na ni waoga kwa wanasiasa.
Lazima kuwajengea wananchi ownership kwa kuwa serikali inapita lakini wananchi watakuwepo vizazi hadi vizazi.
 
Haya mawazo ya namna hii ndiyo ujinga wenyewe na siyo ya mwananchi mzalendo.
Lazima tujenge utamaduni wa kuaminiana na kuridhika katika hali ya kawaida.
Anayewaza wengine wezi ana msingi wa wizi ndani yake.
Ili kuondokana na wizi tuwezeshe wananchi wenye mawazo chanya, tuwape nafasi. Serikali ikishirikiana sekta binafsi inaweza kudhibiti wizi wa wageni.
Watumishi wa serikali huwa hawana maamuzi huru na na ni waoga kwa wanasiasa.
Lazima kuwajengea wananchi ownership kwa kuwa serikali inapita lakini wananchi watakuwepo vizazi hadi vizazi.

wewe unadhani nawaza kumbe mwenzako niko field naoma ninayokwambia hapa.

mawazo chanya na kuamini watu kwa kigezo hicho haitoshi,inahitajika watu kujitoa kwa hali na mali kusimamia mali na kuzilinda kizalendo zisiibwe na wageni.

shida ni kwamba kuna buu wa kutosha wanaoshirikiana na wezi wa nje mpaka kuhalalisha wanayoyafanya.mpaka anapotokea ntu kama magufuli anaonekana ni shetani nk.
 
tena sera moja wapo ya hitler ilikuwa ni hii,tengeneza bidhaa bora yoyote kuliko uliyowahi kuitengenez kipindi hicho ikazaliwa mercedes.

huyo mwenzako hapo juu nimemwambia hakuna tajiri anayetetereshwa na utawala ukiona tajiri wa hivyo kisha anabaki kulia lia kama yeye ujue ni wa mchongo.

Serikali yoyote ina mamlaka ya kumdhibiti yoyote, tena sana serikali zote za Afrika.

Kwa lugha rahisi lazima uwape pesa, Rushwa, mchango, kusaidia ufuate vigezo vyao, wengine hata hawana vigezo vyovyote, pesa ndio kila kitu utajifanya chochote kwa sasa.

Kuwa tajiri sio vigumu kivile kwa Nchi za Afrika. Ni hivi kuwa karibu na serikali, toa rushwa(michango), kwa chama, wabunge, mgombe wa Uraisi pesa ya kampeni. Hakikisha watu wa sera na wasimamizi wake wote wawe mifukoni kwako.

Sio vigumu kufanya hivyo hapa kwetu, nyumbani.
 
wewe unadhani nawaza kumbe mwenzako niko field naoma ninayokwambia hapa.

mawazo chanya na kuamini watu kwa kigezo hicho haitoshi,inahitajika watu kujitoa kwa hali na mali kusimamia mali na kuzilinda kizalendo zisiibwe na wageni.

shida ni kwamba kuna buu wa kutosha wanaoshirikiana na wezi wa nje mpaka kuhalalisha wanayoyafanya.mpaka anapotokea ntu kama magufuli anaonekana ni shetani nk.
Kama uko field chukua hatua za kuanza kuelimisha wenzako mbadilishe fikra za kumtegemea kiongozi badala yake ninyi muwasaidie viongozi kudhibiti kwa kuwa wao hawapo field.
Lazima uje na ushauri wa nini kifanyke.
 
hakuna mtu asiyependa pesa,kinachozuia mtu asiibe pesa ni sheria kali ama ukali wa kiongozi wa nchi.

huyu anayesema wezi waache mara moja kutorosha madini tusitegemee maajabu kwake.

Unahitajika mkono wa chuma, kusimamia haya. Kwa sasa ni maneno matupu.
 
Kama uko field chukua hatua za kuanza kuelimisha wenzako mbadilishe fikra za kumtegemea kiongozi badala yake ninyi muwasaidie viongozi kudhibiti kwa kuwa wao hawapo field.
Lazima uje na ushauri wa nini kifanyke.

unaelewa maana ya neno sera!!!

mfano mwaka huu tunaambiwa ni ruksa kwa mtoto alipewa ujauzito kurudi shule akiishajifungua,unadhani kuna changamoto kubwa kiasi gani kwa tamko hili ikiwa jamii haikubali,sheria haikubali,mazingira hayakuba??

kiongozi ni ndiye dira ya kila kitu,akikosa dira hakuna mtendaji imara ataonekana kuwa imara.
 
Eti anawataka wanaotorosha madini waache mara moja😆🤦🏾‍♂️

Ni sawa na kuwataka majambazi waache ujambazi mara moja kwasababu umeshindwa kuwakamata!

Kuhusu kumtaja mwendazake, hizo ni politics zake za kuogopa kundi la wale walokuwa wakimuumga mkono mwendazake.
Politics...
 
Hata tunapomsifia Mwalimu Nyerere wapo wanaokumbuka walivyoporwa kwny Azimio la Arusha, wapo wanaokumbuka unyama wa operation Vijiji vya Ujamaa, wapo wanaokumbuka ya April,7 1972, wapo wanaokumbuka ya April, 14 1984

Hatuwezi kuacha kumsifia mtu kwa Mema yake kwa kuwa pia ana madhaifu yake

John Magufuli kalifanyia mengi makubwa na mazuri Taifa hili hilo halitegemei comments za Viroboto wala za wahuni
April 14 1984 palitokea kitu gani? Tukumbushane maana tumeshakuwa wahenga.
 
Back
Top Bottom