Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,880
- 19,819
No one can say it better than this! Bi Mikopo anadhani Watanzania wangali wajinga kiasi hicho!Eti anawataka wanaotorosha madini waache mara moja😆🤦🏾♂️
Ni sawa na kuwataka majambazi waache ujambazi mara moja kwasababu umeshindwa kuwakamata!
Kuhusu kumtaja mwendazake, hizo ni politics zake za kuogopa kundi la wale walokuwa wakimuumga mkono mwendazake.