Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,037
- 9,926
Rais Samia amesema ilibidi ateue majaji 42 lakini kutokana na hali ya uchumi amelazimika kuteua majaji 22 wa kuanzia.
Amesema hali itakapokaa vizuri atateua zaidi kwa kadiri ya uhitaji. Ameyasema hayo katika hafla ya kuapisha majaji iliyofanyika Ikulu leo, Agosti 29, 2022.
Amesema hali itakapokaa vizuri atateua zaidi kwa kadiri ya uhitaji. Ameyasema hayo katika hafla ya kuapisha majaji iliyofanyika Ikulu leo, Agosti 29, 2022.