Kivipi sio demotion, wakati Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtumushi wa juu kabisa katika utumishi wa umma na anaripoti kwa Rais, wakati hivi sasa atakuwa anaripoti kwa Katibu Mkuu-Wizara ya Mambo ya nje!!!Basically sio Demotion ni heavy promotion hiyo
Kivipi sio demotion, wakati Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtumushi wa juu kabisa katika utumishi wa umma na anaripoti kwa Rais, wakati hivi sasa atakuwa anaripoti kwa Katibu Mkuu-Wizara ya Mambo ya nje!!!Basically sio Demotion ni heavy promotion hiyo
Amepanda sanaMkurugenzi Usalama wa Taifa mpaka Katibu Mkuu ni kupanda au kushuka
Yamekuwa hayo tena?.Sifa na dharau na wizi alioufanya akiwa mahakama zimemponza
Mkuu... yaani umenena vyema kabisa... ahsante sana kwa ufafanuzi wako.Hapo umenena kweli. Ni semantics tu. Wote hao ni wateule wa Rais katika ngazi za juu kabisa. Balozi hata kama yuko chini ya Wizara ya Mambo ya Nje ni mwakilishi wa Rais kwenye nchi husika kama vile Mkuu wa Mkoa ambavyo yuko chini ya Wizara ya Tamisemi lakini ni mteule na mwakilishi wa Rais kama alivyo waziri wake. Na Katibu Mkuu yo yote pia ni nafasi ya utendaji ya juu katika Wizara husika na ana nafasi katika uendeshaji wa Serikali kitaifa kupitia vikao husika. Ni semantics tu na mpangilio wa utawala. Nawatakia wote utendaji mwema.
Ni jeshi ndo wale wanavaa makirikiri.Hivi tiss sio jeshi kumbe...
Kama waalimu wa madrasa majina yao, nimewasaidia wadini kugundua.1. Moses Kusiruka
Katibu Mkuu Kiongozi
2. Hussein Katanga
Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa New York
3. Diwani Athuman
Katibu Mkuu Ikulu
4. Said Nassor
Mkurugenzi Mkuu Usalama wa Taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
duhhhBaada ya miaka mitatu na miezi mitatu na siku 21 hatimae Diwani Athumani Msuya ameondolewa TISS kama Boss.
Tutakumbuka katika uongozi wako jinsi haki za raia zilivyokandamizwa huku ukitumia the so called "Kikosi Maalum" kuteka na kupoteza watu.
Haya uondoe na dawa zako za mitishamba pale ofisini kwako
Mkuu wawe wanahakikisha wapo mbali na Mahali hotuba inapotolewa ili tusihamishwe kutoka kwenye Ujumbe Mahsusi.Sasa mkuu paka si wapo tu wakiamua kupiga kelele wanapiga tu huku kwetu wanatusumbua zaidi usiku wakianza tu tunatafuta mijiwe tunawapopoa tu
Ngoja wataalamu watatusaidia tofauti ya sauti ya Pusi na Tausi.Nimeambiwa ni wale ndege Tausi. Ila Ile sauti ni kama ya Pusi.
Ulinzi unaoonekana na usioonekana.Habari zenu Taifa la Mungu?
Leo wakati Mh. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Dr. Samia Suluhu Hassan) akihutubia viongozi wa vyama vya Siasa na Watu mbalimbali kuna wakati ilisikika sauti ya Paka wakilia.
Sauti hizi zilisikika wakati Mh. Raisi alipokuwa akitaja mabadiliko aliyoyafanya kwa nafasi mbalimbali ili kuboresha ufanisi wa Serikali.
Binafsi sauti zile zilipunguza kwa Kiasi umakini wangu kwa kusikiliza sauti za Paka badala ya Ujumbe wa Mh. Raisi hali iliyonifanya kurudia kusikiliza Ujumbe wake kwenye Mitandao na vyombo mbalimbali vya habari.
Maswali yangu.
1. Nani aliwaruhusu Paka wale wakae karibu na Mahali ambapo Mh. Raisi alikuwa akitoa hotuba, Kiasi Cha kutufanya baadhi ya Watu kupoteza Concentration kwenye kile ambacho Mh. Raisi alikuwa akikiwakilisha?
2. Nani aliwachokoza Paka wale hadi wakapiga kelele na sisi Wananchi kusikia?
ANGALIZO
Mh. Raisi anapokuwa anatoa hotuba basi tuhakikishe mazingira husika ni rafiki (conducive environment) ili Wananchi tupate kwa ufasaha Ujumbe tunaoletewa na siyo kutuharibia concentration zetu kwa vitu vya kizembe.
Nawasilisha.
Kwa Eneo kama Ikulu sijawahi kusikia Mkuu Edon 666.Ndio mara yk ya kwanza mkuu kusikiaa sauti ya pakaa??? ,mpk uje ushangaee akiliaa wkt rais anahutubiaa
Sorry mkuu ila hiyo avater na ID yako vipi sio ulie watuma wapige kelele mule kweli.Au kijinga cha moto.. Hawarudi tenaa
MUT yuko juu ya katibu mkuu IkuluMkurugenzi Usalama wa Taifa mpaka Katibu Mkuu ni kupanda au kushuka
sababu huyo jamaa za chini chini ni mzee wa kaunda suti toka yuko shule ya msingi mpaka leo hvyo ni shushushu mbobevu asiye na maneno mengi kabisaKwanin kampamba kupita kiasi??
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje, naye pia ni boss wa mabalozi wote walioko nje ya nchiHapana kiongozi,Mh Balozi Katanga kala demotion..ipo hivi Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Muajiri wa Watumishi wote wa Umma,ikiwemo hao Mabalozi..lifanyie kazi hili,utaniambia
Ni jeshi ila ambalo utendaji wa kazi zake unategemea raia kwa kiwango cha juu sana kuliko majeshi mengine yote yaliyopo TanzaniaUna uhakika mkuu tiss sio jeshi rasmi