Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 4,887

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 4,887

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katika kuadhimisha Miaka 61 ya Muungano wa Tanzania, Rais Samia Suluhu ametoa msamaha kwa wafungwa 4,887, ambapo wafungwa 42 kati yao wanaachiliwa huru leo, na wafungwa 4,845 wanabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobakia baada ya kupewa msamaha.

IMG_4313.jpeg

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imebainisha kuwa msamaha huu unawahusu wafungwa wa makundi mbalimbali ikiwemo wagonjwa sugu, wazee wa miaka 70 na zaidi, wanawake wajawazito, wenye watoto wachanga, wafungwa waliokaa gerezani zaidi ya miaka 10 chini ya kifungo cha "Under Presidential Pleasure", na wafungwa wenye ulemavu wa akili au mwili.
 
Katika kuadhimisha Miaka 61 ya Muungano wa Tanzania, Rais Samia Suluhu ametoa msamaha kwa wafungwa 4,887, ambapo wafungwa 42 kati yao wanaachiliwa huru leo, na wafungwa 4,845 wanabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobakia baada ya kupewa msamaha.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imebainisha kuwa msamaha huu unawahusu wafungwa wa makundi mbalimbali ikiwemo wagonjwa sugu, wazee wa miaka 70 na zaidi, wanawake wajawazito, wenye watoto wachanga, wafungwa waliokaa gerezani zaidi ya miaka 10 chini ya kifungo cha "Under Presidential Pleasure", na wafungwa wenye ulemavu wa akili au mwili.
Sawa.
 
Ironic as it is. I get rid 🚯 of a few who dare speak and dispose their bodies wherever I see fit. I lock up some of those I can not exterminate.

The irony is that now I am offering a second chance (freedom and life) to a few thousands.
 
Katika kuadhimisha Miaka 61 ya Muungano wa Tanzania, Rais Samia Suluhu ametoa msamaha kwa wafungwa 4,887, ambapo wafungwa 42 kati yao wanaachiliwa huru leo, na wafungwa 4,845 wanabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobakia baada ya kupewa msamaha.

View attachment 3316438
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imebainisha kuwa msamaha huu unawahusu wafungwa wa makundi mbalimbali ikiwemo wagonjwa sugu, wazee wa miaka 70 na zaidi, wanawake wajawazito, wenye watoto wachanga, wafungwa waliokaa gerezani zaidi ya miaka 10 chini ya kifungo cha "Under Presidential Pleasure", na wafungwa wenye ulemavu wa akili au mwili.
Wa uhaini wangapi?
 
Unatangaza msamaha huku umesimama juu ya shingo za wengine!!
Je ametangaza msamaha kwa wale wafungwa wa fikra waliojazana huko CCM?? Mtu kama Prof Kabudi kuwa Chawa wa, kama siyo mfungwa wa fikra ni nani?
 
images-38.jpeg

unadhani hapa walikuwa Mbinguni?
Hapo ni Kenya
kweli kwenye hii picha kuna watanzania?
Hapana hawa wote ni wakenya
unafikiri wakenya waliwaita hao kwenda kuingilia mambo yao ya siasa?
Hapana haipo hata sehemu walioomba msaada wa watanzania
hivyo tujitafakari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom