Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,342
Reaction score
34,747
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
 
OCTOBA HATUTIKI..... Zanzibar NDIO TULIVYOAMUA
 
Hii julai mbona inatupeleka speed sana,Itupumzishe kidogo.
Kwa speed hii hakika Julai hatatuacha kama alivyo tukuta
 
Amejazwa akajazika sasa hana pa kutokea.
Huyu hajui lolote kuhusu siasa za Tanzania na ccm.
Pale alipo kuna wilaya na mikoa hajawahi hata kufika. Anafikiri kila anayemsifia anamprnda??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…