Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,634
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
 
Chama cha mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa samia.

samia hapendwi, simpendi, hatumpendi

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.

Naona kuna kila dalili ya ukosefu wa amani kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
OCTOBA HATUTIKI..... Zanzibar NDIO TULIVYOAMUA
 
Hii julai mbona inatupeleka speed sana,Itupumzishe kidogo.
Kwa speed hii hakika Julai hatatuacha kama alivyo tukuta
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Amejazwa akajazika sasa hana pa kutokea.
Huyu hajui lolote kuhusu siasa za Tanzania na ccm.
Pale alipo kuna wilaya na mikoa hajawahi hata kufika. Anafikiri kila anayemsifia anamprnda??
 
Back
Top Bottom