Rais Samia ashiriki kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya Mei 11, 2025

Rais Samia ashiriki kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya Mei 11, 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Rais Samia akishiriki kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya Mei 11, 2025
msuya tena.jpg

Samia Msuya.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Mei, 2025.


View: https://www.youtube.com/live/1KtMLCZSOXw?si=Fl1jdXaWwRIiwmqq
 
Back
Top Bottom