Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 616
- 983
Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?Tusisubiri tufike hadi Zimbabwe mkuu. Zimbabwe kulikuwa kunatisha, sijui kama bado kuko hivyo ila usiombe nchi ikafikia hali iliyokuwa nayo Zimbabwe. Kuna miaka nilipita Harare hali ilikuwa ya kusikitisha.
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Hawa washauri na wale wahujumu wote huwa wanaungana. Yaani mama anapelekewa taarifa imepitia kwa washauri lakini aliyeipendekeza ni yule mhujumu. Gesi imepanda bei, umeme umepanda bei, petrol imepanda bei mpaka mitumba imepanda bei lakini kwa sababu mama kila kitu analetewa cha serikali hawezi kujua bei ya vitu kupandaHuyu si alishangiliwa alipoteua mpaka wasaidizi binafsi wa uchumi? Tulihoji hapa mawaziri wa fedha wanakazi gani tukajibiwa wale wanasiasa wanaweza mshauri vibaya ili waje wagombee huko mbele kwa maslah yao! Sawa ao washauri binafsi aliowateua wanakula tu mishahara ya bure.
Kwa hiyo unataka kusema huna imani na Mshauri wake wa karibu, na ambaye pia ni Waziri wake Msomi wa PhD ya masuala ya fedha na uchumi, na Mzalendo wa kweli kwa nchi yake! Mh. Dr. Mwigulu Nchemba!!!Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Alishauua magufuli.Kwa Magufuli mlisema ameua uchumi, kwa Samia mnasema uchumi unakufa, kwani uchumi unakufa mara ngapi?
'Ndugu mwanahabari usitilie shaka hata kidogo kuhusu umahiri wangu kwenye uchumi, hapa unaongea na daktari wa uchumi' in madelu's voice...Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Aisee! Basi kazi ipo.'Ndugu mwanahabari usitilie shaka hata kidogo kuhusu umahiri wangu kwenye uchumi, hapa unaongea na daktari wa uchumi' in madelu's voice...
Mmoja aliuwa mwingine kazika uchumiKwa Magufuli mlisema ameua uchumi, kwa Samia mnasema uchumi unakufa, kwani uchumi unakufa mara ngapi?
Namuona ni SAwa na sesere la kufukuzia ndege shambani.Kwa mujibu wa gazeti la CCM huyu Maza hana mahesabu ya 2025 hivyo liwalo na liwe
Sasa kama anarembua tu kila mtu anaona ni kama haelewi nini kinaendelea bora ashauriwe maana hajui cha kufanyaKwa nini ashauriwe? Yeye mwenyewe kwa akili alizonazo, ana maoni gani?
Anaiga white house ya Marekani ,inavyokua na economic advisersHuyu si alishangiliwa alipoteua mpaka wasaidizi binafsi wa uchumi? Tulihoji hapa mawaziri wa fedha wanakazi gani tukajibiwa wale wanasiasa wanaweza mshauri vibaya ili waje wagombee huko mbele kwa maslah yao! Sawa ao washauri binafsi aliowateua wanakula tu mishahara ya bur
Kama chanjo haina faida unataka ahamasishe ujingaTatizo kubwa la Mama hadi sasa hajagundua yuko na washauri ambao sio sahihi. Wasaidizi wake wengi wana uchu wa kugombea urais 2025 hivyo wana mgombanisha na wananchi bila yeye kujua.
Huu ni mpango mahsusi ulio sukwa. Na kama mama hata shtuka avuruge safu yake ya uongozi kuanzia Pm hadi ma dc hamna rangi ata acha kuona.
Fikiria juzi kuna naibu katibu mkuu afya na hamasisha kujifukiza. Ni kwamba yuko wizara ya afya lakini ana pinga chanjo. Hiyo ni simple maths.
Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Kwa nini ashauriwe? Yeye mwenyewe kwa akili alizonazo, ana maoni gani?
Aliongea hivyo kumnanga Magu lakini sioni uwezo wake huo wa kusoma hizo graphππππAlisema ye mtu wa [emoji408][emoji409][emoji410][emoji408] tu yaani anasubiri aletewe mezani watu wamesha mchorea
Labda, Maza atakuwa anauzika sasa...!!Kwa Magufuli mlisema ameua uchumi, kwa Samia mnasema uchumi unakufa, kwani uchumi unakufa mara ngapi?
Rais anatakiwa awe na washauri wazuri. Unajua serikali haina uwezo wa kuajiri labor force yote hivyo ana wajibu wa kuweka mazingira mazuri kwa sekta binafsi. Sekta binafsi ndio mwajiri mkubwa kokote duniani.Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?
Check hii orodha na athari yake ikoje kwa WANYONGE na taifa kwa ujumla.
1.Tozo ya umeme
2.Tozo ya miamala ya simu
3.Tozo kwenye mafuta
Laiti ingekuwa Tanzania ni gari ningekuwa nishateremka kwa speed ya dereva wetu.
Mkuu naomba nauli nihamie Burundi πππ