Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,705
Wadau wa JF & Watanzania Wote
Huu ndiyo ukweli na lazima usemwe na kila Mzalendo
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya yale ambayo wengi wetu hatukuyatarajia
Ndiyo Mama na Kiongozi wetu mpendwa amefanya makubwa tena kwa Weledi wa hali ya juu na ujasiri mkubwa
Siwezi kuyataja yote leo kwani itachukua muda mrefu lakini itoshe tu kusema kuwa - Aksante Sana Mama Kuirejesha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Ramani ya Dunia ya Kidiplomasia
Baadhi yenu mtabeza kwa kusema kuwa jambo hili ni dogo na la kwawaida! Niwaeleza ukweli kwamba hili siyo jambo dogo hata kidogo na linahitaji hekima hali ya juu mno kulifanikisha
Mama ameifungua nchi na amemudu kuweka mambo sawa kwa kuondoa changamoto mbalimbali zilizoifanya nchi yetu kuwa kama kisiwa
Huu ni uwezo wa kipekee alionao Rais wetu hivyo njia ya kipekee ni kumtunuku Udaktari wa Falsafa
Tumtie moyo
Tumpe nguvu
Tumpe ushirilikiano
Mama anaweza
KaziIendelee
Huu ndiyo ukweli na lazima usemwe na kila Mzalendo
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya yale ambayo wengi wetu hatukuyatarajia
Ndiyo Mama na Kiongozi wetu mpendwa amefanya makubwa tena kwa Weledi wa hali ya juu na ujasiri mkubwa
Siwezi kuyataja yote leo kwani itachukua muda mrefu lakini itoshe tu kusema kuwa - Aksante Sana Mama Kuirejesha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Ramani ya Dunia ya Kidiplomasia
Baadhi yenu mtabeza kwa kusema kuwa jambo hili ni dogo na la kwawaida! Niwaeleza ukweli kwamba hili siyo jambo dogo hata kidogo na linahitaji hekima hali ya juu mno kulifanikisha
Mama ameifungua nchi na amemudu kuweka mambo sawa kwa kuondoa changamoto mbalimbali zilizoifanya nchi yetu kuwa kama kisiwa
Huu ni uwezo wa kipekee alionao Rais wetu hivyo njia ya kipekee ni kumtunuku Udaktari wa Falsafa
Tumtie moyo
Tumpe nguvu
Tumpe ushirilikiano
Mama anaweza
KaziIendelee