Rais Samia Aongoza Kikao Cha Baraza La Mawaziri Ikulu Ya Chamwino

Rais Samia Aongoza Kikao Cha Baraza La Mawaziri Ikulu Ya Chamwino

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,354
Reaction score
23,760
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Hii Leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Screenshot_20250429-162108_1.jpg
Screenshot_20250429-162121_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Hii Leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Ya Chamwino Mkoani Dodoma.View attachment 3319835View attachment 3319837

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
SAFI SANAAAA
 
Lukuvi na mkuchika ni mawaziri wa wizara zipi? Hawa si walitolewa? Au walirudishwa tena. Lol
 
Hizi pics utadhani wapo very serious kazini, kumbe pipo zinawaza jinsi gani zitarudi mjengoni Oct.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Hii Leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Ya Chamwino Mkoani Dodoma.View attachment 3319835View attachment 3319837

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kazi na utu tusonge mbele pamoja.
well done DR.Samia Suluhu Hassan, GOD BLESS YOU AND YOUR MINISTERS :KasugaYeah:
 
wanajadili namna yakutazama namna ya kuwapiga upya bajeti mpya watanzania
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Hii Leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Ya Chamwino Mkoani Dodoma.View attachment 3319835View attachment 3319837

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utaishia kuripoti tu, teuzi utazisikia tu 🤣🤣🤣🤣😅😅🤣
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Hii Leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Ya Chamwino Mkoani Dodoma.View attachment 3319835View attachment 3319837

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huwezi pata teuzi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Hii Leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Ya Chamwino Mkoani Dodoma.View attachment 3319835View attachment 3319837

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Baraza la majizi ya mali za umma..
 
Back
Top Bottom