Rais Samia aongeza viwanda vipya 30,000

Hivi ni vile viwanda vya enzi za bwana Kaijage cherehani nne tayari kiwanda.
Kweli kabisa,sidhani kama raia wanahoji ni aina gani ya viwanda na viko mahali gan
Kwa idadi hii kila kona ya wilaya na majiji ingekua imechafukwa na viwanda
 
hizo taarifa unazitoa wapi?
 
viko wapi mbona huwa hatuvioni? viwanda alfu thelathini sio kitu kidogo ujue, manake kuna majengo 30,000 ya viwanda, uhalisia ungeonekana au vipo wapi hivyo viwanda? wakati wa magu tuliambiwa sijui kuna viwonder zaidi ya laki mbili, tulipouliza viko wapi wakasema hata cherehani ni kiwonder. tukasema sawa!
 
Chadomo watakuja kutukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…