Akili za kukariri hizi, kuna watu luluki wametoka hai hapo au hata TRA, Brela wana list ya biashara zilizomo humo.
Mpaka sasa serikali ingekuwa walau na idadi ya calculated guess ya watu waliotakiwa kuwe mule ndani. Wangeongea na wafanya biashara waliotoka wazima wangekuwa na picha bado nani ajapatikana, alikuwa floor ipi, then upate picha ya wateja wanaokuwa mule mida ile ya asubuhi etc kuhusu kupata rough estimate unadhani kuna miili mingapi bado.
Kufanya maamuzi tu ya kukisia mtu mwenyewe hata nchini hayupo, yaani mpaka sasa hatujasikia hata wakitoa rough estimate ya watu wanaodhani walikuwa ndani, inakwambia jinsi walikvyokuwa hawajajiandaa na mambo kama haya.