Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Ni hoja za kisomi,lakini sie akina kapuku la saba B tunaangalia ramani ya Tanzania kuona ni eneo gani kubwa.
Tumeangalia mkoa wa morogoro tukaona mkoa wa geita unaotaka kumegwa unaingia mara mbili na nusu.
Kwanini isiwe morogoro maana ni kubwa sana mwenye ramani ya Tanzania atuwekee.
Hiyo mnaita regasi sijui nini,nani mwenye regasi Kati ya magufuli na mwalimu?basi butiama iwe mkoa kuenzi regasi ya babu.
Morogoro ikigawanywa kuna “wazito” watapoteza mashamba yao!