Rais Samia anaweza kuanzisha mkoa mpya wa Chato endapo haya yatazingatiwa…

Ni hoja za kisomi,lakini sie akina kapuku la saba B tunaangalia ramani ya Tanzania kuona ni eneo gani kubwa.

Tumeangalia mkoa wa morogoro tukaona mkoa wa geita unaotaka kumegwa unaingia mara mbili na nusu.

Kwanini isiwe morogoro maana ni kubwa sana mwenye ramani ya Tanzania atuwekee.

Hiyo mnaita regasi sijui nini,nani mwenye regasi Kati ya magufuli na mwalimu?basi butiama iwe mkoa kuenzi regasi ya babu.

Morogoro ikigawanywa kuna “wazito” watapoteza mashamba yao!
 
Naam ndiyo kusudio langu kuonyesha hii ya KUKURUPUKA na kugawa Mikoa bila ya kuwepo na TATHMINI ya kina kuonyesha hiyo mikoa iliyomegwa na mipya Wananchi wa Mikoa hiyo WAMEFAIDIKA vipi na zoezi hili kwa maisha yao kuboreshwa, vipato vyao kuongezeka etc.

Bila kuja na TATHMINI ya kina basi narudia tena sera hii ni UPUUZI MTUPU! Miaka 60 ya uhuru lakini Serikali inajiita eti ni “Serikali ya Wanyonge” miaka 60 ya chama kimoja madarakani iweje hadi hii leo kuna Watanzania Wanyonge ndani ya Nchi yao huru!? Sera kama hizi za KIPUUZI ni moja ya sababu nchi hii katika kila Sekta haina chochote ambacho Watanzania tunaweza KUJIVUNIA.

GARBAGE IN GARBAGE OUT!

Hivi kweli Yanga hataingiza team uwanjani hiyo tarehe 03/07/2021 au anamzuga simba kinamna?
 
Back
Top Bottom