Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 7,961
Hongera sana mtoa mada kwa andiko lililo sheheni madini na uchambuzi mpana. Ningekuwa mwalimu wako wa Public Administration, hakika ningekupa 98/💯 sawa na A+.
Hoja za kuanzisha mkowa Chato ni za kipumbafu sana hizi, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.
Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge, bado wanataka watushawishi TUBARIKI MAKOSA yake kwa kuipa Chato hadhi ya Mkoa?? They are not serious.
Mungu ametuepushia hiyo DHAHMA kwa kuchukua roho ya mtu mwongo, mwizi na katili na mbinafsi ili tujipange vizuri, kama tutaupa Chato hadhi ya mkoa itakuwa ni KUFURU kwa Mungu wetu.
Ile Chato ni ya kubaki hivyo hivyo kama ilivyobaki GBADOLITE ya Mobutu, ili vizazi vijavyo vije vitambue kuwa tuliwahi tawaliwa na mtu KICHAA kwa miaka 5 na siku 131.
Hoja za kuanzisha mkowa Chato ni za kipumbafu sana hizi, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.
Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge, bado wanataka watushawishi TUBARIKI MAKOSA yake kwa kuipa Chato hadhi ya Mkoa?? They are not serious.
Mungu ametuepushia hiyo DHAHMA kwa kuchukua roho ya mtu mwongo, mwizi na katili na mbinafsi ili tujipange vizuri, kama tutaupa Chato hadhi ya mkoa itakuwa ni KUFURU kwa Mungu wetu.
Ile Chato ni ya kubaki hivyo hivyo kama ilivyobaki GBADOLITE ya Mobutu, ili vizazi vijavyo vije vitambue kuwa tuliwahi tawaliwa na mtu KICHAA kwa miaka 5 na siku 131.