Tangu EU wameongea nimegundua mama ni mzalendo sana...Nilikuwa namlaumu sasa nimefuta lawama zangu, TEC waache ujinga!EU na nyundo KUBWA
Tangu EU wameongea nimegundua mama ni mzalendo sana...Nilikuwa namlaumu sasa nimefuta lawama zangu, TEC waache ujinga!EU na nyundo KUBWA
Bandarini kuna watu kwa week hua wanakunja Milion mia mbili (200M),ujio wa DP world unakata mirija ya watu ,acha watu warandukeMungu amsaidie Mama yetu.
Sasa sijui hilo la bandari, TEC nao kuukataa huo mkataba wa DPW wana mkono katika kumwangusha Mama?
Kiukweli ukisikia ufisadi wa bandari unaogopa!