Mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake ilikuwa inasemwa anatekeleza sera za chadema, nasisitiza kwamba mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake ilikuwa inasemwa kuwa alikuwa anatekeleza sera za chadema.
Mtateseka sana,mama yetu anarudisha nchikwenye mstari mnyoofu.Bado anakumbana na changamoto za wateule wa Mwenezake ambao wengi wao hawakuwa na sifa stahiki.