Rais Samia anatakiwa kuwa makini afanyapo teuzi

Memento

JF-Expert Member
Jun 13, 2021
4,423
9,962
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi Rais anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara...
Mkuu mtu unajua akishiba ama akifikia lengo lake la juu kabisa lakini ama unaongea tu.

Binadamu tunaelewa na tunasahau Jana yetu kabisa.
 
Mods wataufuta huu uzi in no time. Mods wa sasa wanafuta chochote kile chenye tija.

Hapo kosa sio la mama tu bali system nzima ya Ikulu. Zaidi namlaumu mtoa taarifa wa Ikulu kwa kushindwa kuona duplicate ya majina hili ni jambo rahisi kuliko yote kushtukia, yeye kama fact checker wa habari yeyote inayotoka Ikulu alipaswa kugundua hili.
 
Mods wataufuta huu uzi in no time. Mods wa sasa wanafuta chochote kile chenye tija.

Hapo kosa sio la mama tu bali system nzima ya Ikulu. Zaidi namlaumu mtoa taarifa wa Ikulu kwa kushindwa kuona duplicate ya majina hili ni jambo rahisi kuliko yote kushtukia, yeye kama last scanner wa habari yeyote inayotoka Ikulu alipaswa kugundua hili.
Jamiiforums ya awamu hii ina onekana kufadhiliwa au kupendelea sana serikali. Sijajua kuna nini behind
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi raisi anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo ILA...
Hawa wasaidizi wake wana matatizo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mods wataufuta huu uzi in no time. Mods wa sasa wanafuta chochote kile chenye tija.

Hapo kosa sio la mama tu bali system nzima ya Ikulu. Zaidi namlaumu mtoa taarifa wa Ikulu kwa kushindwa kuona duplicate ya majina hili ni jambo rahisi kuliko yote kushtukia, yeye kama last scanner wa habari yeyote inayotoka Ikulu alipaswa kugundua hili.
Sijui shida nini kwa wenzetu huko, makosa Kama haya mbona yanaepukika?
Kwenye hili la wakurugenzi anaweza kuwa sio yeye Ila kwenye lile la wakuu wa mikoa ni yeye anahusika na Yale makosa
 
Hawa wasaidizi wake wana matatizo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hao wasaidizi kawachagua yeye mwenyewe Wala Hana wa kumsingizia
Kateua katibu mkuu wake kiongozi
Kateua katibu wa raisi ikulu
Kateua mshauri wake
Kateua mkurugenzi wake wa mawasiliano ikulu
Yeye ndio mwenye makosa maana kachagua wasaidizi wake wasiokuwa makini
 
Ninachojua HAKUNA familiya mpya itakyoingia kwenye utawala wa nchi hii.mama yupo making lakini abaponzwa na watu wa tamisemi.Tamisemi waliwahi kuajiri Mwalim Mara 196.Tamisemi inaajiru watu kwa vimemo.
 
Back
Top Bottom