Rais Samia anatakiwa kuwa makini afanyapo teuzi

Dollar Rajab Kusenge Ameteuliwa Mara Mbili Kuwa Mkurugenzi Kwenye Miji Tofauti

Kwa Mujibu wa Ripoti iliyotoka Ameteuliwa Kuwa Mkurugenzi wa Mji wa Njombe na Pia Ameteuliwa Kuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Kasulu
FB_IMG_1627899733716.jpg
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara
Hiyo kutokuwa makini na katabia ka kukosa uadilifu kwa maafisa wetu serikalini ni chanzo kikubwa cha yote haya. Kuna kujuana sana na kubebana. Sisi bado hatujafikia kiwango cha kutazama matokeo ya jambo lilipo mezani, sisi tunajali mahusiano zaidi. Yani hatupo result-oriented. So, hao wanaohusika na vetting ndiyo wana shida, wapigiana pasi tu. Ilipaswa mama awakamue pale wanapomlisha shudu.

Utamaduni pia unatukaba. Tabia yetu hii ya mkubwa hakosei inaturudisha nyuma sana. Kwa staili hii hata ushauri kupokea ni shida. Tazama utamaduni huu wa mkubwa hakosei ukifanya kazi kwa kubofya kiunganishi hiki hapa chini. Cheki kuanzia dakika ya 8:25.

 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara...
Nina mashaka ata na ujuzi na uzoefu wa kazi kwa wateuliwa, inawezekana watu wengi wenye sifa wanaachwa,nimeona watoto wa vigogo kibao ambao sidhani kama wanafahamu changamoto za wakulima vijijini.
 
Watakuambia yeye analetewa majina

Katiba letu bovu bovu ndio linaendelea kuwabeba.
Unateua kitoto kilichotoka juzi shule hata maziwa hayajauka mdomoni kuwa mkurugenzi wa wilaya nafasi ya utendaji serikalini aisee this is too much

Nafasi kama hizo zinahitaji watu wenye uzoefu wa shughuli za kiserikali kwa miaka 15 consecutively.

Huyo mama yenu hayuko makini

Aliwahi pia mteua yule mpuuzi aliemtishia zitto kumuua eti awe mkurugenzi wa wa tpdc.

Hivi anapitia hayo majini kwa msingi ga Sheria au kwakua yeye ni rais anateua tu anavyojisikia .

Watu wakianza kumzingua na kumdharau asilalame kwamba kuna chokochoko wakati yeye mwenyewe mambo yake yanaendaenda tu .

Nimesikitika Sana
 
Unateua kitoto kilichotoka juzi shule hata maziwa hayajauka mdomoni kuwa mkurugenzi wa wilaya nafasi ya utendaji serikalini aisee this is too much

Nafasi kama hizo zinahitaji watu wenye uzoefu wa shughuli za kiserikali kwa miaka 15 consecutively.

Huyo mama yenu hayuko makini

Aliwahi pia mteua yule mpuuzi aliemtishia zitto kumuua eti awe mkurugenzi wa wa tpdc.

Hivi anapitia hayo majini kwa msingi ga Sheria au kwakua yeye ni rais anateua tu anavyojisikia .

Watu wakianza kumzingua na kumdharau asilalame kwamba kuna chokochoko wakati yeye mwenyewe mambo yake yanaendaenda tu .

Nimesikitika Sana
HUYU MAMA, YEYE AKISHALETEWA MAJINA

HAANGAIKI WALA HAJISHUGULISHI KUPITIA.

ALISHASEMA, YEYE SIO KAMA MAGUFULI


NDIO MAANA UNAONA ANAFANYA VITU VYA AJABU AJABU KABISA

AIBUUUUU AIBUUUU.
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi raisi anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo.
Hapo tumepigwa hakuna kiongozi
 
Back
Top Bottom