Rais Samia anajaribu kuzima moto wa petrol kwa maji

Kwani wajibu wa balozi ni kutetea maovu ya serikali
 
Utake kuvuruga amani,halafu uchekewe.Hata Mwalimu Nyerere,hakuwachekea waliotaka kuvuruga amani.Hata aliogombania nao uhuru,walipotaka kuleta ujinga,aliwaonyesha cha moto.
Anayeuza bandari na anayetetea isiuzwe nani anayevunja amani.
 
Kumbe Slaa ni mbobevu wa Lugha nne hatari sana
 
Ukifuatilia maongezi ya nyumbu unaweza kuwehuka haki ya nani, wanaongea ujinga ujingaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…