econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,716
Nimependa akili ambazo Rais Samia amezitumia kuiua CHADEMA kiakili vile aisee chadema ndugu yaani nyie hapo hamna kitu yaani hapo nyie ni mwendo wa kuwaaga taratibu.
Amewaita ikulu amewapa posho, Kashata na alkasus then akawaambia tufanye maridhiano then akawaruhusu kuendelea kufanya siasa then majitaka(wastage politics) hapo ndugu zangu chadema kwishinei 😆 🤣 😂 😹.
Bye bye chadema na upinzani
Mtaongea yote. Kipindi CHADEMA waanaandaa maandamano ya ukuta mliwacheka na kuwakebehi, mpaka JWTZ na Polisi wakaingia mitaani kutoa vitisho. Mwisho wa siku kilitokea Nini?
CHADEMA haipo bungeni Wala halmashauri Wala kwenye mitaan na vijiji ila haijafa. Magufuli alitumia kila njia Hadi kununua wabunge ila kafa kaiacha CHADEMA inadunda.
.