Rais Samia anaiua CHADEMA polepole

Rais Samia anaiua CHADEMA polepole

Kwenye uzi wangu huu Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? nilisema

Ni kweli Mbowe amekuja kuachiwa kwa Nolle, badala ya kuuona ule moto wa usipime, breki ya kwanza ni Ikulu, Mama opened up for him and stretched her hands and embrace him!. He cried, they both cried!. Mama akamuahidi Mbowe utapata kila utakacho, na kweli Mbowe ni kila uchao Ikulu!, huku Chadema nako tukaona mambo yameanza kwenda, vikao vilivyoshindikana kuitiswa, kutokana na ukata, mara ghafla fedha zimepatikana, vikao vikaitishwa, mara trips za overseas fully paid!.

The next stage baada ya mikutano kuruhusiwa ni restoration of his past glory, kwa kuteuliwa ubunge viti vya rais, wale 19 Chadema itawasamehe, Bungeni wataondolewa, Chadema itatea wabunge 19 wengine ila Halima, Bulaya Matiko na Hanje wateuliwa tena, bila kukasahau kale kadogoo Upendo Peneza. Kanuni za Bunge zitapindishwa kuunda kambi ya upinzani Bungeni, Mbowe atapewa uenyekiti, hata Zitto atateuliwa ubunge!.

Hapa sasa wataendesha siasa shingo chini!.
P

Wewe mnafiki ndio maana umepata kura moja. Aliyeenda Ikulu ni Mbowe au aliitwa na mama ikulu?. Mama kamatangaza Mbowe gaidi hadharani kaona kakosea kamwita Mbowe kuomba radhi , shida ipo wapi?.

Punguza roho mbaya wewe.
 
Umejizima data? Iko hivi, kwa sasa agwnda ya chadema itakuwa ni kumchafua magufuli na kumsifia samia. Hutasikia ajenda ya katiba mpya, tozo, mfumuko wa bei wala mambo ya moja kwa moja yanayowaumiza wananche. Watakuwa wameahidiwa majimbo machache ili upinzani urudi tena bungeni. Kiufupi chadema imemalizwa maana hawayagusa agenda za wananchi tena. Asali imejaa midomoni mwa viongozi wa cdm.
Hujui lolote.
 
Nimependa akili ambazo Rais Samia amezitumia kuiua CHADEMA kiakili vile aisee chadema ndugu yaani nyie hapo hamna kitu yaani hapo nyie ni mwendo wa kuwaaga taratibu.

Amewaita ikulu amewapa posho, Kashata na alkasus then akawaambia tufanye maridhiano then akawaruhusu kuendelea kufanya siasa then majitaka(wastage politics) hapo ndugu zangu chadema kwishinei 😆 🤣 😂 😹.

Bye bye chadema na upinzani
kashindwa MEKO atawezaje huyu anaeburuzwa na mzee wa msoga?
kweli nimeamini mgeni wenu huyu hakukosea kuwaita 🐮 🐮 🐮
 
Umejizima data? Iko hivi, kwa sasa agwnda ya chadema itakuwa ni kumchafua magufuli na kumsifia samia. Hutasikia ajenda ya katiba mpya, tozo, mfumuko wa bei wala mambo ya moja kwa moja yanayowaumiza wananche. Watakuwa wameahidiwa majimbo machache ili upinzani urudi tena bungeni. Kiufupi chadema imemalizwa maana hawayagusa agenda za wananchi tena. Asali imejaa midomoni mwa viongozi wa cdm.

Katiba mpya imeruhusiwa, kwa hivyo tunasubiri ndani ya mwezi huu kamati iundwe kuto mwongozo. Halafu usiongelee mambo ya kesho huyajui
 
Hivi CHADEMA itakufa lini?
Maana kila kiongozi wa CCM huwa anasema CHADEMA itakufa/imekufa,
Mbona haifi sasa?
Tuwape miaka mingapi ili ife kabisa?.
 
Dah! Kumbe majamaa yaligonga Alkasusu, lazima Mnyika alimuambia muhudumu ampelekee urojo na juisi ya miwa
 
Walimtetea fisadi gani? Na huyo fisadi hakamatwi na serikali ya CCM ?
Fisadi mwenyewe yuko CCM chama la mafisadi papa
FB_IMG_1581491063368.jpg
 
Wewe mnafiki ndio maana umepata kura moja. Aliyeenda Ikulu ni Mbowe au aliitwa na mama ikulu?. Mama kamatangaza Mbowe gaidi hadharani kaona kakosea kamwita Mbowe kuomba radhi , shida ipo wapi?.

Punguza roho mbaya wewe.
Huyu atakuwa mhutu kama mwendazake, sisi Wasukuma hatunaga roho mbaya hivi
 
1. Kwahiyo Raisi Samia alitumia akili kuwaita CHADEMA

2. Baada ya kuwaita Rais Samia akawaambia Turidhiane

3. Kwa kufanya hivyo kaua upinzani kwa bye bye

NB:
1. Kwa msingi huo unataka kutuambia kuwa CCM aliomba maridhiano kwa CHADEMA

2. Umesahau yule alietaka kuua upinzani kwa kutumia rasimali za Taifa ambae alisimamisha shughuli za maendeleo ya nchi zikawa shughuli za kuiua CHADEMA kwa kuteka, kuua, kudhulumu na kuiba alikufa yeye CHADEMA ipo palepale
Unayesema anaua na kuteka na huyu wa maridhiano alikuwa ughaibuni?
 
Nimependa akili ambazo Rais Samia amezitumia kuiua CHADEMA kiakili vile aisee chadema ndugu yaani nyie hapo hamna kitu yaani hapo nyie ni mwendo wa kuwaaga taratibu.

Amewaita ikulu amewapa posho, Kashata na alkasus then akawaambia tufanye maridhiano then akawaruhusu kuendelea kufanya siasa then majitaka(wastage politics) hapo ndugu zangu chadema kwishinei 😆 🤣 😂 😹.

Bye bye chadema na upinzani
Umejitajidi sana kujionyesha ulivyo. Waswahili wamenena "DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE"
 
Nimependa akili ambazo Rais Samia amezitumia kuiua CHADEMA kiakili vile aisee chadema ndugu yaani nyie hapo hamna kitu yaani hapo nyie ni mwendo wa kuwaaga taratibu.

Amewaita ikulu amewapa posho, Kashata na alkasus then akawaambia tufanye maridhiano then akawaruhusu kuendelea kufanya siasa then majitaka(wastage politics) hapo ndugu zangu chadema kwishinei 😆 🤣 😂 😹.

Bye bye chadema na upinzani
Wakuiua CHADEMA alishakufa...
 
Nimependa akili ambazo Rais Samia amezitumia kuiua CHADEMA kiakili vile aisee chadema ndugu yaani nyie hapo hamna kitu yaani hapo nyie ni mwendo wa kuwaaga taratibu.

Amewaita ikulu amewapa posho, Kashata na alkasus then akawaambia tufanye maridhiano then akawaruhusu kuendelea kufanya siasa then majitaka(wastage politics) hapo ndugu zangu chadema kwishinei .

Bye bye chadema na upinzani
ALIYEKUFUNDISHA kunya njia panda alikuachia mkosi mkubwa
 
Wewe endeleza propaganda zako za ki-ccm..........

Hivi unawezaje kuita kuwa hatua ya kufungulia mikutano ya hadhara Kwa vyama vya kisiasa, kama ni kifo Cha Chadema, badala ya kusema Chadema ndiyo imepaishwa sana kisiasa?

Kwanza hujiulizi, ni kwanini Rais wa awamu iliyopita alipiga marufuku mikutano ya kisiasa, kama siyo woga wake mkubwa Kwa chama kikuu Cha siasa cha Chadema?

Kiukweli hivi Sasa chama Cha Chadema, ndicho kitakachokuwa na mvuto kuliko chama chochote Cha siasa nchini, kutokana na msimamo wake na kukemea uonevu na hila zinazofanywa na CCM, wakishirikiana na vyombo vya dola
Ndani ya miaka 6 hii,nitajie maovu ambayo chadema imeyapinga hadharani.

Todauti na kujipigania yenyewe kama yenyewe?

Chadema si ndio iligeuka kuwa mtetezi wa mafisadi na ACACIA?

Tundu lissu si ndio huyo huwa akishangilia mali zetu zikikamatwa ughaibuni?
 
Back
Top Bottom