1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,304
Mawazo ya Kijinga ndiyo yanayowaponza waafrikaAcheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.
Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie
Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?
Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.
Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!
Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?
Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?
Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?
Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Cool.Wewe ambae sio bendera tunaomba utoke front sio kujifichia if ambayo 95% ya Watzn hata hawaijui.
Hujui hata kuandika.Naona wakosoani na wasiomoenda Rais Samia wanataka kitumia ukame kama fimbo ya ku mkososoa. Iko hivi, Rais Samia ametutoa katika utawala wa mabavu, ametutoa katika nchi ambayo uchumi ulikuwa unaenda kuanguka kwa kukumbatia sera za kijinga. Ametutoa katika nchi ambayo ilikuwa imeanza kutengwa kimataifa...ametutoa katika nchi ambayo ilikuwa haivutii wawekezaji, sasa tumeanza kurudi kwenye mstari.
Msitumie madhara ya ukame kama udhaifu wa Rais. Ukame ni natural. Pengine kama Rais JPM angeendeleza mikakati.iliyo achwa na mtangulizi wake athari.za ukame zisingekuwa kubwa hivi. Lakini yeye aliweka pembeni mipango yote ya serikali akaja na mipango yake ya kukurupuka.
Emu nikuignore tenaItapita na Hakuna kitu mtafanya
Hayo ni matokeo ya Katiba mbovuNchi yetu inaendeshwa bila Vipaumbele. yani nchi gani inakua kama kilabu cha pombe.. yani kila Rais anayekuja anafanya anavyojisikia yy anaondoka..
Nchi haina mipango..haina maono. hovyooo
Kwa taarifa yako hakuna mkulima mwenye Mahindi Mahindi yapo kwa matajiri me hii ni field yangu so naongea nikiwa na uhakika 100%Acheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu
Ngoja tusubiri tuone.2023 ni fainali.
Tumia akili alisema fainali imefutwa, haipo tena. 😆😆2023 ni fainali.
Huna Cha kufanya zaidi kuandika hizi HadithiEmu nikuignore tena
Mimi ndio Ni organise au wewe unaejisemesha upuuzi..Cool.
Organize kongamano Wazalendo tuje kutoa sumu za Taifa hili.
Wachache ndiyo tulikunywa maji ya Bendera.
Rais huwa nashindwa kumuelewa, kama anadanganywa na wasaidizi wake kama wengi wanavyomtetea, je, yeye kwa kupenda kwake mitandao ya kijamii, haoni haya malalamiko ya wananchi anaowaongoza?
Jibu lake ni either jeuri, ujinga, au vyote; kwasababu kwa akili ya kawaida, kama kiongozi unashindwa kutatua kero za wale unaowaongoza, basi umeshindwa kazi.
Kwani nchi haiendeshwi kwa kubebana kirafiki, au kauli za sauti laini isiyobadili hali ya mambo, bali inaendeshwa kwa kila mmoja wao pale alipo, kutambua majukumu yake na kuyatekeleza ipasavyo, bila kuleta ngonjera za data za kupika zisizoendana na uhalisia field, yule anayeshindwa aondolewe.
Lakini kuendelea kuwa nae ni ujinga wa anaewateua, kwa sababu mwisho wa siku, incompetency yao inamponza yeye kiongozi.
Inasikitisha sana, wiki iliyopita nilikNchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.
Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie
Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?
Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.
Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!
Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?
Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?
Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?
Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Wiki iliyopita nilikuwa wilaya za Kibondo na Kasulu nilishangaa kuona magari yenye namba za Rwanda, Kenya na Burundi kuwa vijijini kununua mazao ya chakula muhogo na maharage direct kutoka Kwa wakulima , kwa nini tunashindwa kulinda soko letu ?Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.
Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama yeyote kafa kisa kukosa maji na Wala hawagombanii maji ila sisi tunagombania maji kwasababu Rais Samia anataka tuyagombanie
Imagine leo Mahindi gunia limefika 150,000. Sisi kipaumbele chetu ni kuilisha Kenya au kuhakikisha nchi yetu inakuwa na food security? Rais anafanya nini? Waziri mkuu yuko wapi? Waziri wa kilimo anafanya nini nchi inaingia kwenye mgogoro wa chakula?
Leo 1kg ya mchele imefika 3000 inakuwaje maana yake gunia la mchelewa 100kg ni kama 300,000.
Rais nashauri Kama miaka 60 ya uhuru umeshindwa kutuwashia umeme, kutupa Maji wakati 30% ya eneo la nchi ni maji tena yasiyo na chumvi na kutupa uhakika wa kula Bora ujiuzulu!!
Watumishi kwenye wizara ya maji wanafanya nini watumishi Tanesco wanafanya nini wanalipwa mishahara kupiga soga tu ofisini nchi inaanguka?
Hivi hii nchi watu mlala kabisa usingizi wakati watu hawana Maji umeme na chakula Cha uhakika?
Inatosha Sana Sana na najua unafanya makusudi tu mbona tulipopiga kelele kuhusu panga Road now wametulia?
Rais tupishe pls watu million 60 Kuna watu kibao Sana wa kuongoza hii nchi sio lazima wewe.View attachment 2418732
Mkulima yupi anayefaidika na hii bei??...wakulima kila siku wanapanga foleni kununua unga Kwa mangi...Mangi kashanunua mazao Yao yote kipindi Yana bei ndogo...Sasa hivi anayefaidika ni Mangi ( mfanyabiashara)..Mkulima Hana hata kilo mbili za mazao aliyolima Kwa mikono yakeAcheni jamani hata wakulima waneemeke kwa Bei nzuri mmewanyonya Sana mda mrefu Kama vipi njoo na wewe uliame uone mziki wake. Acha wakulima wale mema ya nchi.we kaa mjini sisi huku kijijini Wala hatujui hayo mamigao yenu ya maji sababu mito imejaa mpaka mda mwingine tunaliwa na mamba na tunaona kawaida tu