Kuna hii speech yake inatrend sasahivi, imefanya nijiulize kama huyu mama kweli ni msomi kama wanavyodai
Kama alipata divisions za failures, then that explains everything
Mama angu hajasoma ila ukimwambia kawaambie watu mafuta Lita ni dola 8000 lazima akuulize dola 8000 ndio sawa na shi ngapi za Madafu. Ukimwambia Dola 8000 ni zaidi ya Milion 16 za Madafu hawezi kuafikiana na wewe. We kwa kuwa huna shule kichwani anayoongea kilaza mwenIo unayaunga mkono.