Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Ok ahsante kwa taarifa.
Huyu katukana sasa fanya mpango uteuliwe wewe ambae hajatukana tanzania.

Wivu na uchawi utawapeleka kaburini
 
Vipi bado unaendelea na utangazaji uchwara siku hizi?
 
Alichalenji vipi na kuwa mpinzani wa serikali embu fafanua,BBC ni kutoa habari siyo mapambio.
Kama ulikuwa unaangalia taarifa zake basi nafikiri jibu unalo na unalijua ila kama ulikuwa huangalii hapo nafikiri itachukua mda mrefu na mambo mengi kukuelezea, ila ningekuomba kunifanyia kitu kimoja kizuri; tafuta Youtube kama kuna critic yeyote ile ambayo Zuhura Yunus na Salim Kikeke wameitoa kwa nchi yao England?

Mbili identity ya huyu mtangazaji ambaye anajulikana kama presenter wa BBC ki-profession, haijulikani. Inakuwaje mda wote huo aiitwe Zuhura Yunus na sasa Zuhura Yunus Abdalah? Hili jina la Abfalah linatumika kivipi na kwa vigezo gani?

Huyu mwanamke, nafikiri watazania wengi mtakuwa mmesahau, alikuwa anatoa taarifa mbovu sana kuhusu sakata la Serikali ya Tanzania na Kampuni ya BARRICK Gold, kiasi kwamba kuna siku alifanya dhahiri kitendo cha kuwapotosha wasilikzaji kwa ku-divert story ya majadiliano yaliyokuwa yakifanyika kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya BARRICK Gold nchini kwa kuhojiana na mtanzania aliyesadikika kama ni mbobebezi katika mambo ya mikataba kama hii huko Canada.

Huyu mtangazaji alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kuwapotosha matajiri dunuani walio taka kuwekeza nchini kwa taarifa zake za habari ambazo zilijaa negativity juu ya policy ya nchi yetu, alafu leo tutegemee mtu kama huyu kweli kuibariki nchi yetu ipate mafanikio ya kiuchumi?

Watanzania mnafanya utani na nchi yenu au maisha yenu sio? Mnafikiri huyu mama anauchungu na nyie kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…