Nipo jijini mwanza kiukweli mji unapendeza. Nimepita maeneo karibia yote makoroboi, nyasaka, nyamhongolo, buhongwa. Dah!
Siamini machinga wote wamehama tena wenyewe kwa mikono Yao, wamebomoa wenyewe bila vurugu zozote.
Mama Samia amewezaje ilihali watangulizi wake wote walishindwa na walipojaribu lilikuwa ni bomu hatari Sana...#raissamiaisaluteyou
Hizi ni picha nilizopiga maeneo ya buhongwa ambapo lilikuwa ni eneo hatari Sana kuwaondoa machinga!
View attachment 2002214
View attachment 2002215