Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,135
- 9,628
- Thread starter
- #41
Nitajie Raisi alietoka madarakani bila kuua?






taja list ya walioumizwa na Samia, hata Mello wa JF unayotumia kuandika upupu, alikaa jera miezi ya kutosha.Nitajie Raisi alietoka madarakani bila kuua?






taja list ya walioumizwa na Samia, hata Mello wa JF unayotumia kuandika upupu, alikaa jera miezi ya kutosha.Ben saananeTaja listi ya watu 5 aliowaua na ushidi wake
Laiti kama Mwendazake angekuwa ndio kafa harafu Serikali haijazindua ujenzi wa vipande vingine vya SGR wangeishia pale pale Morogoro au Dodoma afu pesa zikafanye mengine..Jamaa alikuwa hopeless kabisa
Kwanza ya yote je tunaamini benki kuu ya dunia na imf haziwezi kudanganya?Mkuu tuambie alichotulisha matango pori hapo.
Umeambiwa utoe ushaidi mkuu ili tuamini hayo unayoyasema ulishuudia au uliambiwa/kusikia tu.Ben saanane
Azory gwanda
Nk. Na aliowatesa nusura wafe ni hawa;
Mbowe(filisiwa vibaya Sana)
-sugu(fungwa)
-Lema(fungwa)
-Lissu(unajua)
-Manji(filisiwa)
-Ben saanane, Lwajabe, Kanguye,azory Gwanda, Akwilina(uliwa)
-malinzi, Rugemalira,
-Mo, Roma, Nondo, Tito magoti, mdude(walitekwa)
- wafanya bihashara kufilisiwa,n.k
Jpm mwenyewe ndo alisema kuwa tayari ameshauaUmeambiwa utoe ushaidi mkuu ili tuamini hayo unayoyasema ulishuudia au uliambiwa/kusikia tu.
Hata kuandika hujui ni Ng’ombeNgombe
Lini na wapi?Jpm mwenyewe ndo alisema kuwa tayari ameshaua
Akifanikiwa kurudisha Bei ya Petrol irudi 1800, Kutoka 3000 ya sasa, ntaamini Kweli Anaupiga mwingi''Tulikuwa tunawaambia kuwa Magufuli alikuwa mjinga, mshamba, katiri, zero brain kabisa, mkadhani tulikuwa tunamchukia.
Ubabe wa Magufuli ulifanya nchi irudi nyuma, socially, economically na politically. Yeye aliamini kutumia nguvu,kuteka, ua, filisi, funga wapinzani na kadharika, pamoja na yote.
- Magufuli alifeli vibaya Sana kiuchumi, alikopa Hadi Basi, maana aliua uchumi na kuvuruga diplomasia wakati nchi yake Ni masikini ata GDP yake haifiki ata $70b.
- Alishindwa kutengeneza ajira, angalia sahivi angalau ajira zimefunguka, kila sector inaajiri, Magufuli alichofanya Ni kupunguza wafanyakazi Basi.
- Alishindwa kupandisha madaraja na mishahara kwa miaka 5, wakati mwezake mwaka tu kafanya yote.
- Statistically Magufuli alijenga barabarani chache Sana, ukilinganisha na mtangulizi wake JK, kwa miaka mitano yaani JK(2005-2010) na yeye (2015-2020) kwa miaka mitano ya Magufuli bajeti ya Tarura haikuwai zidi Tsh200b wakati Samia now Ni 800b.
- Aliharibu diplomasia, ubabe wa kishamba, sasa ukiwa na Bunge la chama kimoja ni sifa, lijitu halikuwa na aibu yaani hata nchi zilizoendelea Mabunge yao unakuta majority ni 51% na minority Ni 49%, lakini huyu Jiwe alitaka 100% iwe CCM tu.
Samia baada ya kuingia madarakani akaanza na umagufuli, kwa kumfunga Mbowe, nadhani matokeo aliyaona, Samia alichukiwa saaana kipindi Mbowe Yuko rumande, alipokuwa anaenda nje alikuwa anaulizwa kuhusu Mbowe, Mbowe, Mbowe. Akipost kitu yalikuwa Ni matusi tu, maana watu walikuwa na hasira naye.
Baada ya kumtoa Mbowe akacheza kiakiri, akashikana nae na kuahidi kushirikiana nae, believe me, Samia sio kwamba anampenda Sana Mbowe, lakini ameona siasa za kukomoana hazimsaidii kitu zaidi ya kuvuna chuki.
Now anakutana na wanasiasa wa upinzani, mpaka sherehe zao anaudhuria, kwa kufanya hivyo
- Amepunguza chuki kwa Watanzania
Believe me Samia atatawala kwa raha Sana kuliko JPM, maana siasa za chuki anazizika, na inakuwa credit sana kwake.
- Anajitengenezea njia ya kuaminiwa kimataifa
- Sahivi anatawala kwa raha Sana
Mnataka marehemu wasisemwe?Tumefundindishwa sisi Marehemu haswemwi,
lakini ndugu muandishi nikuulize mbona mnatumia Minguvu sana kumsifia huyu Mama.
Anyway inaonekana uchumi wako umelindwa laiti ungeguswa usingeandishi maandiko kama haya.
Waheshimu Marehemu ,waombee lkn pia heshimu basi hata kidogo Familia yake
Mwisho
nikupe taarifa MIRADI YOTE ANAYOZINDUA mama mwanzilishi ni JPM chuma kutoka chato
vitu ambavyo MAMA ameanzisha ni TOZO na kwenda kumpeleka PETER kutalii kwenye hifadhi zetu bila kulipa chochote na kumlipa 7B
Swala la watumishi kuongezewa mishahara sisi halituhusu maana huwezi kuwa na watoto ukaacha kuwahudumia akati ni jukumu lako
hivyo ni jukumu lake kuwaongeza na kuwapandisha madaraja na ipo kwa mujibu wa sheria.
MImi ni CCM kindakindaki na sisi CCM NI WAKWELI.wanachama wote ni sawa .sio Samia wala JPM,
POVU RUKSA
MACHINGAMbona JPM hakuongeza,? Hiv kweli huoni mabadiriko, Samia ameumiza watu kuliko JPM, Niwekee list ya watu alioumiza Samia, mie naweka ya JPM
-Mbowe(filisiwa vibaya Sana)
-sugu(fungwa)
-Lema(fungwa)
-Lissu(unajua)
-Manji(filisiwa)
-Ben saanane, Lwajabe, Kanguye,azory Gwanda, Akwilina(uliwa)
-malinzi, Rugemalira,
-Mo, Roma, Nondo, Tito magoti, mdude(walitekwa)
- wafanya bihashara kufilisiwa,n.k
Niwekee list ya watu walioumizwa na Samia, Magufuli alikuwa shetani, mshamba, katiri, zero brain, jitu lilikuwa useless, hopeless kabisa
-
Akiwa chato tar 11/6/2018Lini na wapi?
Unaponishangaza ni pale unapochanganya maslahi binafsi na mustakabali wa nchi.I second him kwenye mradi wa Bwawa la umeme tuu,vingine vyote ni vidogo vidogo hata haifai kujisifia..
Kusema kweli Mwenyezi Mungu alitufanyia upendeleo wa kipekee Watanzania March 17 kwa kutuondolea lile jinamizi bila hata tone la damu kumwagika.Tulikuwa tunawaambia kuwa Magufuli alikuwa mjinga, mshamba, katiri, zero brain kabisa, mkadhani tulikuwa tunamchukia.
Ubabe wa Magufuli ulifanya nchi irudi nyuma, socially, economically na politically. Yeye aliamini kutumia nguvu,kuteka, ua, filisi, funga wapinzani na kadharika, pamoja na yote.
- Magufuli alifeli vibaya Sana kiuchumi, alikopa Hadi Basi, maana aliua uchumi na kuvuruga diplomasia wakati nchi yake Ni masikini ata GDP yake haifiki ata $70b.
- Alishindwa kutengeneza ajira, angalia sahivi angalau ajira zimefunguka, kila sector inaajiri, Magufuli alichofanya Ni kupunguza wafanyakazi Basi.
- Alishindwa kupandisha madaraja na mishahara kwa miaka 5, wakati mwezake mwaka tu kafanya yote.
- Statistically Magufuli alijenga barabarani chache Sana, ukilinganisha na mtangulizi wake JK, kwa miaka mitano yaani JK(2005-2010) na yeye (2015-2020) kwa miaka mitano ya Magufuli bajeti ya Tarura haikuwai zidi Tsh200b wakati Samia now Ni 800b.
- Aliharibu diplomasia, ubabe wa kishamba, sasa ukiwa na Bunge la chama kimoja ni sifa, lijitu halikuwa na aibu yaani hata nchi zilizoendelea Mabunge yao unakuta majority ni 51% na minority Ni 49%, lakini huyu Jiwe alitaka 100% iwe CCM tu.
Samia baada ya kuingia madarakani akaanza na umagufuli, kwa kumfunga Mbowe, nadhani matokeo aliyaona, Samia alichukiwa saaana kipindi Mbowe Yuko rumande, alipokuwa anaenda nje alikuwa anaulizwa kuhusu Mbowe, Mbowe, Mbowe. Akipost kitu yalikuwa Ni matusi tu, maana watu walikuwa na hasira naye.
Baada ya kumtoa Mbowe akacheza kiakiri, akashikana nae na kuahidi kushirikiana nae, believe me, Samia sio kwamba anampenda Sana Mbowe, lakini ameona siasa za kukomoana hazimsaidii kitu zaidi ya kuvuna chuki.
Now anakutana na wanasiasa wa upinzani, mpaka sherehe zao anaudhuria, kwa kufanya hivyo
- Amepunguza chuki kwa Watanzania
Believe me Samia atatawala kwa raha Sana kuliko JPM, maana siasa za chuki anazizika, na inakuwa credit sana kwake.
- Anajitengenezea njia ya kuaminiwa kimataifa
- Sahivi anatawala kwa raha Sana
Sukuma Gang kubalini matokeo tu,lile zimwi halitarudi tena duniani kuleta usumbufu.Ndiyo maana tumeporomoka kutoka uchumi wa kati.
Tunatumia muda mwingi kujadili ujinga
Na wewe kiroboto unafutaje ugali wako? Kwa kwenda kufanya usafi kwenye kaburi kule Chato?Mada inamuhusu Samia, lkn kila sentensi kuna jina la Mbowe. Chawa mmekuwa mkitafuta ugali wenu kwa njia nyingi mpaka njia nyingine zinawaboa wasomaji wa mada zenu. Haya ngoja tuone kama Mbowe atakwita ufipa ukachukue elf 5000 za kilo ya unga.
Watanzania muache tabia ya kujipendekeza kwa wanaume wenzenu na baba wa wenzenu, hii ni aibu kwenu na kwa familia zenu. Mtaendelea kuuza utu wenu kwa sababu ya njaa zenu mpaka lini?
Umesema ukweli mtupu. Halafu Samia amefungua uhuru wa maoni na kusema. Wakumponda wanamponda, na wa kumpongeza wanampongeza pia. Siyo Magufuli ambaye aliishia kusaka watu mitaani na mitandaoni ya wanaomkosoa.Tulikuwa tunawaambia kuwa Magufuli alikuwa mjinga, mshamba, katiri, zero brain kabisa, mkadhani tulikuwa tunamchukia.
Ubabe wa Magufuli ulifanya nchi irudi nyuma, socially, economically na politically. Yeye aliamini kutumia nguvu,kuteka, ua, filisi, funga wapinzani na kadharika, pamoja na yote.
- Magufuli alifeli vibaya Sana kiuchumi, alikopa Hadi Basi, maana aliua uchumi na kuvuruga diplomasia wakati nchi yake Ni masikini ata GDP yake haifiki ata $70b.
- Alishindwa kutengeneza ajira, angalia sahivi angalau ajira zimefunguka, kila sector inaajiri, Magufuli alichofanya Ni kupunguza wafanyakazi Basi.
- Alishindwa kupandisha madaraja na mishahara kwa miaka 5, wakati mwezake mwaka tu kafanya yote.
- Statistically Magufuli alijenga barabarani chache Sana, ukilinganisha na mtangulizi wake JK, kwa miaka mitano yaani JK(2005-2010) na yeye (2015-2020) kwa miaka mitano ya Magufuli bajeti ya Tarura haikuwai zidi Tsh200b wakati Samia now Ni 800b.
- Aliharibu diplomasia, ubabe wa kishamba, sasa ukiwa na Bunge la chama kimoja ni sifa, lijitu halikuwa na aibu yaani hata nchi zilizoendelea Mabunge yao unakuta majority ni 51% na minority Ni 49%, lakini huyu Jiwe alitaka 100% iwe CCM tu.
Samia baada ya kuingia madarakani akaanza na umagufuli, kwa kumfunga Mbowe, nadhani matokeo aliyaona, Samia alichukiwa saaana kipindi Mbowe Yuko rumande, alipokuwa anaenda nje alikuwa anaulizwa kuhusu Mbowe, Mbowe, Mbowe. Akipost kitu yalikuwa Ni matusi tu, maana watu walikuwa na hasira naye.
Baada ya kumtoa Mbowe akacheza kiakiri, akashikana nae na kuahidi kushirikiana nae, believe me, Samia sio kwamba anampenda Sana Mbowe, lakini ameona siasa za kukomoana hazimsaidii kitu zaidi ya kuvuna chuki.
Now anakutana na wanasiasa wa upinzani, mpaka sherehe zao anaudhuria, kwa kufanya hivyo
- Amepunguza chuki kwa Watanzania
Believe me Samia atatawala kwa raha Sana kuliko JPM, maana siasa za chuki anazizika, na inakuwa credit sana kwake.
- Anajitengenezea njia ya kuaminiwa kimataifa
- Sahivi anatawala kwa raha Sana
Marehemu alikuwa bingwa wa kupika takwimuWewe kwa akili zako uliona tulifika uchumi wa Kati kama sio hadaa za kumtafuta jamaa yenu aingie kingi walipue