Rais Samia amechanga karata zake vizuri

Rais Samia amechanga karata zake vizuri

Taja listi ya watu 5 aliowaua na ushidi wake
Ben saanane

Azory gwanda

Nk. Na aliowatesa nusura wafe ni hawa;

Mbowe(filisiwa vibaya Sana)
-sugu(fungwa)
-Lema(fungwa)
-Lissu(unajua)
-Manji(filisiwa)
-Ben saanane, Lwajabe, Kanguye,azory Gwanda, Akwilina(uliwa)
-malinzi, Rugemalira,
-Mo, Roma, Nondo, Tito magoti, mdude(walitekwa)
- wafanya bihashara kufilisiwa,n.k
 
Jamaa alikuwa hopeless kabisa
Laiti kama Mwendazake angekuwa ndio kafa harafu Serikali haijazindua ujenzi wa vipande vingine vya SGR wangeishia pale pale Morogoro au Dodoma afu pesa zikafanye mengine..

Huwezi Jenga reli wakati huna uchumi wa kujenga wala wa ku feed,matokeo yake itakuwa ni tembo mweupe..

Ndio maana nilipenda idea ya JK ya kutumia PPP Ili Mchina ajenge mwenyewe na a operate kwa sababu yeye kama investor angefanya juu chini kuhakikisha anatafuta mzigo wa kuifanya isimtie hasara Kwa kushawishi wenzao waje Tanzania na pengine angeiunga na Nchi jirani kwa Pesa zake..

Na uzoefu umeonesha mashirika ya serikali huwa ni hasara tuu,imagine DART imeshindikana sembuse sgr?

Subirini ikamilike mtaona,itakuwa kama ATCL na wimbo utabadilika kwamba reli ni huduma.
 
Mkuu tuambie alichotulisha matango pori hapo.
Kwanza ya yote je tunaamini benki kuu ya dunia na imf haziwezi kudanganya?

Kama haziwezi kudanganya,Tanzania ilitangazwa kuwa katika kundi la "lower middle income country"(nchi yenye uchumi wa kati wa chini).

Kigezo cha kuwa katika kipengele hiki GDP kwa mwaka kwa kila mwananchi ni $1036 hadi $4045.

Tukiangalie kiwango cha chini yaani $1036 kwa mwaka kwa kila mwananchi.
$1036 × 2350(approx.)=Tshs.2,434,600/=

Tshs.2,434,600/= ÷ 12(miezi)=Tshs.202,883.3/= kwa mwezi.

Tshs.202,883.3/= ÷ 30.3(wastani wa siku katika mwaka)=Tshs.6695.82/= kwa siku.

Tshs.6695.82/= =$3 approx.

HITIMISHO:
Mwananchi mmoja kwa mwaka;$1036
Makadirio ya idadi ya watanzania ni milioni 60
$1036× 60,000,000=$62,160,000,000/=

Mleta mada anatuambia Magufuri alifeli katika uchumi kuliko awamo iliyopota ya Jakaya Kikwete na kusema tupo chini ya $70b.

Ni kweli tupo chini ya $70b. Lakini hapa Magufuri hakushindwa uchumi licha ya kuwa na $62b. Bado ni katika kipengele cha nchi zenye uchumi wa kati wa chini na siyo "third world country".

Hata Kenya yupo nchi zenye uchumi wa kati wa chini akiwa na GDP$98.84b. na GDP per capita $1838(approx.)

NB:Iweje Magufuri aingize nchi hii kwa mara ya kwanza kipengele cha nchi zenye uchumi wa kati wa chini tuseme amefeli?

Kama jibu ni kuwa kuna masikini wanaishi chini ya dola moja na watu wasio na ajira ilhali kuna matajiri kama bakhresa na MO.Basi jua ya kuwa hata marekani U.S.A
kuna watu masikini wasio na makazi na ni ombaomba ilhali kuna matajiri kama Jeff Bezel na Elon musk.

#Maoni yangu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220601-120213.jpg
    Screenshot_20220601-120213.jpg
    91.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220601-121927.jpg
    Screenshot_20220601-121927.jpg
    83.1 KB · Views: 9
Ben saanane

Azory gwanda

Nk. Na aliowatesa nusura wafe ni hawa;

Mbowe(filisiwa vibaya Sana)
-sugu(fungwa)
-Lema(fungwa)
-Lissu(unajua)
-Manji(filisiwa)
-Ben saanane, Lwajabe, Kanguye,azory Gwanda, Akwilina(uliwa)
-malinzi, Rugemalira,
-Mo, Roma, Nondo, Tito magoti, mdude(walitekwa)
- wafanya bihashara kufilisiwa,n.k
Umeambiwa utoe ushaidi mkuu ili tuamini hayo unayoyasema ulishuudia au uliambiwa/kusikia tu.
 
Tulikuwa tunawaambia kuwa Magufuli alikuwa mjinga, mshamba, katiri, zero brain kabisa, mkadhani tulikuwa tunamchukia.

Ubabe wa Magufuli ulifanya nchi irudi nyuma, socially, economically na politically. Yeye aliamini kutumia nguvu,kuteka, ua, filisi, funga wapinzani na kadharika, pamoja na yote.

- Magufuli alifeli vibaya Sana kiuchumi, alikopa Hadi Basi, maana aliua uchumi na kuvuruga diplomasia wakati nchi yake Ni masikini ata GDP yake haifiki ata $70b.

- Alishindwa kutengeneza ajira, angalia sahivi angalau ajira zimefunguka, kila sector inaajiri, Magufuli alichofanya Ni kupunguza wafanyakazi Basi.

- Alishindwa kupandisha madaraja na mishahara kwa miaka 5, wakati mwezake mwaka tu kafanya yote.

- Statistically Magufuli alijenga barabarani chache Sana, ukilinganisha na mtangulizi wake JK, kwa miaka mitano yaani JK(2005-2010) na yeye (2015-2020) kwa miaka mitano ya Magufuli bajeti ya Tarura haikuwai zidi Tsh200b wakati Samia now Ni 800b.

- Aliharibu diplomasia, ubabe wa kishamba, sasa ukiwa na Bunge la chama kimoja ni sifa, lijitu halikuwa na aibu yaani hata nchi zilizoendelea Mabunge yao unakuta majority ni 51% na minority Ni 49%, lakini huyu Jiwe alitaka 100% iwe CCM tu.

Samia baada ya kuingia madarakani akaanza na umagufuli, kwa kumfunga Mbowe, nadhani matokeo aliyaona, Samia alichukiwa saaana kipindi Mbowe Yuko rumande, alipokuwa anaenda nje alikuwa anaulizwa kuhusu Mbowe, Mbowe, Mbowe. Akipost kitu yalikuwa Ni matusi tu, maana watu walikuwa na hasira naye.

Baada ya kumtoa Mbowe akacheza kiakiri, akashikana nae na kuahidi kushirikiana nae, believe me, Samia sio kwamba anampenda Sana Mbowe, lakini ameona siasa za kukomoana hazimsaidii kitu zaidi ya kuvuna chuki.

Now anakutana na wanasiasa wa upinzani, mpaka sherehe zao anaudhuria, kwa kufanya hivyo
- Amepunguza chuki kwa Watanzania
  • Anajitengenezea njia ya kuaminiwa kimataifa
  • Sahivi anatawala kwa raha Sana
Believe me Samia atatawala kwa raha Sana kuliko JPM, maana siasa za chuki anazizika, na inakuwa credit sana kwake.
Akifanikiwa kurudisha Bei ya Petrol irudi 1800, Kutoka 3000 ya sasa, ntaamini Kweli Anaupiga mwingi''
 
Tumefundindishwa sisi Marehemu haswemwi,

lakini ndugu muandishi nikuulize mbona mnatumia Minguvu sana kumsifia huyu Mama.

Anyway inaonekana uchumi wako umelindwa laiti ungeguswa usingeandishi maandiko kama haya.

Waheshimu Marehemu ,waombee lkn pia heshimu basi hata kidogo Familia yake

Mwisho

nikupe taarifa MIRADI YOTE ANAYOZINDUA mama mwanzilishi ni JPM chuma kutoka chato
vitu ambavyo MAMA ameanzisha ni TOZO na kwenda kumpeleka PETER kutalii kwenye hifadhi zetu bila kulipa chochote na kumlipa 7B

Swala la watumishi kuongezewa mishahara sisi halituhusu maana huwezi kuwa na watoto ukaacha kuwahudumia akati ni jukumu lako

hivyo ni jukumu lake kuwaongeza na kuwapandisha madaraja na ipo kwa mujibu wa sheria.


MImi ni CCM kindakindaki na sisi CCM NI WAKWELI.wanachama wote ni sawa .sio Samia wala JPM,


POVU RUKSA
Mnataka marehemu wasisemwe?
Imeandikwa biblia gani au kurani gani?

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Mbona JPM hakuongeza,? Hiv kweli huoni mabadiriko, Samia ameumiza watu kuliko JPM, Niwekee list ya watu alioumiza Samia, mie naweka ya JPM
-Mbowe(filisiwa vibaya Sana)
-sugu(fungwa)
-Lema(fungwa)
-Lissu(unajua)
-Manji(filisiwa)
-Ben saanane, Lwajabe, Kanguye,azory Gwanda, Akwilina(uliwa)
-malinzi, Rugemalira,
-Mo, Roma, Nondo, Tito magoti, mdude(walitekwa)
- wafanya bihashara kufilisiwa,n.k

Niwekee list ya watu walioumizwa na Samia, Magufuli alikuwa shetani, mshamba, katiri, zero brain, jitu lilikuwa useless, hopeless kabisa
-
MACHINGA
UFISADI NCHINI
MIRADI HAIKAMILIKI KWA WAKATI
HAKUNA NIDHAMU YA KAZI SASA IVI
UTEUZI WA MICHONGO(MFANO BIBI MZEE ALIMFUNDISHA LEO UNAMTEUA BILA KUFATA SHERIA ZA NCHI UTEUZI
ACHANA NA HAO WASIOFATA SHERIA ZA NCHI MAFISADI
 
I second him kwenye mradi wa Bwawa la umeme tuu,vingine vyote ni vidogo vidogo hata haifai kujisifia..
Unaponishangaza ni pale unapochanganya maslahi binafsi na mustakabali wa nchi.

Usijaribu kusimulia vitu ambavyo kila mwenye macho na 80% ya wananchi hawavijui wala kuelewa.

Maslani kama unadhani barabara ni bora zaidi, mbona mmekopa pesa kwaajili ya kujenga madarasa hewa badala ya barabara au maabara za utafiti magonjwa? Kwakuwa mlisema korona ni kubwa, mkaishia kujenga madarasa hewa na sio ku-combat hicho mlichoona ni janga.

Tusimulie kuhusu vidogo vidogo na vikubwa vikubwa.
 
Tulikuwa tunawaambia kuwa Magufuli alikuwa mjinga, mshamba, katiri, zero brain kabisa, mkadhani tulikuwa tunamchukia.

Ubabe wa Magufuli ulifanya nchi irudi nyuma, socially, economically na politically. Yeye aliamini kutumia nguvu,kuteka, ua, filisi, funga wapinzani na kadharika, pamoja na yote.

- Magufuli alifeli vibaya Sana kiuchumi, alikopa Hadi Basi, maana aliua uchumi na kuvuruga diplomasia wakati nchi yake Ni masikini ata GDP yake haifiki ata $70b.

- Alishindwa kutengeneza ajira, angalia sahivi angalau ajira zimefunguka, kila sector inaajiri, Magufuli alichofanya Ni kupunguza wafanyakazi Basi.

- Alishindwa kupandisha madaraja na mishahara kwa miaka 5, wakati mwezake mwaka tu kafanya yote.

- Statistically Magufuli alijenga barabarani chache Sana, ukilinganisha na mtangulizi wake JK, kwa miaka mitano yaani JK(2005-2010) na yeye (2015-2020) kwa miaka mitano ya Magufuli bajeti ya Tarura haikuwai zidi Tsh200b wakati Samia now Ni 800b.

- Aliharibu diplomasia, ubabe wa kishamba, sasa ukiwa na Bunge la chama kimoja ni sifa, lijitu halikuwa na aibu yaani hata nchi zilizoendelea Mabunge yao unakuta majority ni 51% na minority Ni 49%, lakini huyu Jiwe alitaka 100% iwe CCM tu.

Samia baada ya kuingia madarakani akaanza na umagufuli, kwa kumfunga Mbowe, nadhani matokeo aliyaona, Samia alichukiwa saaana kipindi Mbowe Yuko rumande, alipokuwa anaenda nje alikuwa anaulizwa kuhusu Mbowe, Mbowe, Mbowe. Akipost kitu yalikuwa Ni matusi tu, maana watu walikuwa na hasira naye.

Baada ya kumtoa Mbowe akacheza kiakiri, akashikana nae na kuahidi kushirikiana nae, believe me, Samia sio kwamba anampenda Sana Mbowe, lakini ameona siasa za kukomoana hazimsaidii kitu zaidi ya kuvuna chuki.

Now anakutana na wanasiasa wa upinzani, mpaka sherehe zao anaudhuria, kwa kufanya hivyo
- Amepunguza chuki kwa Watanzania
  • Anajitengenezea njia ya kuaminiwa kimataifa
  • Sahivi anatawala kwa raha Sana
Believe me Samia atatawala kwa raha Sana kuliko JPM, maana siasa za chuki anazizika, na inakuwa credit sana kwake.
Kusema kweli Mwenyezi Mungu alitufanyia upendeleo wa kipekee Watanzania March 17 kwa kutuondolea lile jinamizi bila hata tone la damu kumwagika.
 
Mada inamuhusu Samia, lkn kila sentensi kuna jina la Mbowe. Chawa mmekuwa mkitafuta ugali wenu kwa njia nyingi mpaka njia nyingine zinawaboa wasomaji wa mada zenu. Haya ngoja tuone kama Mbowe atakwita ufipa ukachukue elf 5000 za kilo ya unga.

Watanzania muache tabia ya kujipendekeza kwa wanaume wenzenu na baba wa wenzenu, hii ni aibu kwenu na kwa familia zenu. Mtaendelea kuuza utu wenu kwa sababu ya njaa zenu mpaka lini?
Na wewe kiroboto unafutaje ugali wako? Kwa kwenda kufanya usafi kwenye kaburi kule Chato?
 
Tulikuwa tunawaambia kuwa Magufuli alikuwa mjinga, mshamba, katiri, zero brain kabisa, mkadhani tulikuwa tunamchukia.

Ubabe wa Magufuli ulifanya nchi irudi nyuma, socially, economically na politically. Yeye aliamini kutumia nguvu,kuteka, ua, filisi, funga wapinzani na kadharika, pamoja na yote.

- Magufuli alifeli vibaya Sana kiuchumi, alikopa Hadi Basi, maana aliua uchumi na kuvuruga diplomasia wakati nchi yake Ni masikini ata GDP yake haifiki ata $70b.

- Alishindwa kutengeneza ajira, angalia sahivi angalau ajira zimefunguka, kila sector inaajiri, Magufuli alichofanya Ni kupunguza wafanyakazi Basi.

- Alishindwa kupandisha madaraja na mishahara kwa miaka 5, wakati mwezake mwaka tu kafanya yote.

- Statistically Magufuli alijenga barabarani chache Sana, ukilinganisha na mtangulizi wake JK, kwa miaka mitano yaani JK(2005-2010) na yeye (2015-2020) kwa miaka mitano ya Magufuli bajeti ya Tarura haikuwai zidi Tsh200b wakati Samia now Ni 800b.

- Aliharibu diplomasia, ubabe wa kishamba, sasa ukiwa na Bunge la chama kimoja ni sifa, lijitu halikuwa na aibu yaani hata nchi zilizoendelea Mabunge yao unakuta majority ni 51% na minority Ni 49%, lakini huyu Jiwe alitaka 100% iwe CCM tu.

Samia baada ya kuingia madarakani akaanza na umagufuli, kwa kumfunga Mbowe, nadhani matokeo aliyaona, Samia alichukiwa saaana kipindi Mbowe Yuko rumande, alipokuwa anaenda nje alikuwa anaulizwa kuhusu Mbowe, Mbowe, Mbowe. Akipost kitu yalikuwa Ni matusi tu, maana watu walikuwa na hasira naye.

Baada ya kumtoa Mbowe akacheza kiakiri, akashikana nae na kuahidi kushirikiana nae, believe me, Samia sio kwamba anampenda Sana Mbowe, lakini ameona siasa za kukomoana hazimsaidii kitu zaidi ya kuvuna chuki.

Now anakutana na wanasiasa wa upinzani, mpaka sherehe zao anaudhuria, kwa kufanya hivyo
- Amepunguza chuki kwa Watanzania
  • Anajitengenezea njia ya kuaminiwa kimataifa
  • Sahivi anatawala kwa raha Sana
Believe me Samia atatawala kwa raha Sana kuliko JPM, maana siasa za chuki anazizika, na inakuwa credit sana kwake.
Umesema ukweli mtupu. Halafu Samia amefungua uhuru wa maoni na kusema. Wakumponda wanamponda, na wa kumpongeza wanampongeza pia. Siyo Magufuli ambaye aliishia kusaka watu mitaani na mitandaoni ya wanaomkosoa.

Tanzania iko mikono salama na Rais Samia
 
Back
Top Bottom