ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,976
- Thread starter
- #81
Hata angemsifia Lisu,shida ni kuanza kusema sijui Serikali imuachue sijui nini kana kwamba hajui kosa lakeLakini angeisifia serikali asingeonywa au siyo?
Hata angemsifia Lisu,shida ni kuanza kusema sijui Serikali imuachue sijui nini kana kwamba hajui kosa lakeLakini angeisifia serikali asingeonywa au siyo?
Chawa kwa imani ya manabii hasa wengi ni kwamba wanapewa maagizo ya kutoa bila kujali viongozi wa usalama. Sasa kama mtu ana amini kapewa maagizo na mungu na ayasema atamwogopaji Samia wakati yeye katumwa na Mungu kwa imani yake!Watu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
machawa mnataka mpaka manabii nao wawe machawa haiwezekani. Yaani unabii ndiyo huo kusema vitu bila kufuata mkumboWatu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
machawa mnataka mpaka manabii nao wawe machawa haiwezekani. Yaani unabii ndiyo huo kusema vitu bila kufuata mkumbo
Huyo tapeli ni nabii wa kwako ,mkeo na nyumbu wengine wa huko ufipa.Chawa kwa imani ya manabii hasa wengi ni kwamba wanapewa maagizo ya kutoa bila kujali viongozi wa usalama. Sasa kama mtu ana amini kapewa maagizo na mungu na ayasema atamwogopaji Samia wakati yeye katumwa na Mungu kwa imani yake!
Ilimradi ni unabii ana ruhusa ya kuongea lolote. Huwezi kumzuia mtu kuongea ndoto na kasema ni ndoto kwasababu tu ya uchawa! Mbona hao manabii walikuwa wanamuongelea Mbowe kushidwa machawa hamsema kitu hapa! punguzu kubenua benuaHuyo tapeli ni nabii wa kwako ,mkeo na nyumbu wengine wa huko ufipa.
🚮🚮Ilimradi ni unabii ana ruhusa ya kuongea lolote. Huwezi kumzuia mtu kuongea ndoto na kasema ni ndoto kwasababu tu ya uchawa! Mbona hao manabii walikuwa wanamuongelea Mbowe kushidwa machawa hamsema kitu hapa! punguzu kubenua benua
Haishi mtu...Tuwapinge wote wanaotumia dini kukamilisha matakwa yao ya kisiasa....haijalishi ni nani.
Tukifika sehemu miskitini na makanisani tukahubiri dini basi tumekwisha.
Watu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!