Unauliza au unapigia jibu mstari?Sifa Kwa Kiongozi ziiichanganywa na dini Kuna shida gani? By the way ni Kiongozi gani alitumia jukwaa la dini kumsifu Rais?
Takataka. Mfukuzeni Gwajima bungeniWatu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Sio kwamba Serikali ya Samia inagawa "Uhaini" kama karanga kwanini na huyu asgaiwe?!Aonywe tuu kwamba hiyo sio sawa,asijifanye Msemaji wa Mungu na TL
HahahahaNashauri nabii akamatwe atupwe baharini anezwe na samaki😡
Kweli ww matako, kila cku ccm ndo wanahonga viongozi wa diniWatu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Kila binadamu Ana uhuru wa kutoa mani yake binafsi na basi hapo kavunja katiba kivipi ? Anyways mkuu me sisemi wewe ila watu wengi nlosoma nao shule na nawaona wanatetea ccm ni wale walokuwaga wamwisho darasani kama what is civics iliwashinda wataweza kungamua the ongoing economic crisis na what should be done to stabilize? Hawawezi kamwe ndio mana maneno yao huwa ni ndio, mfano serikali ikitangaza kupitia mama samia ttcl imepata faida wanashangilia ndiooo, alafu ukaguzi wa kichele ukigundua ttcl imeingiza bonge la loss, mama anapokuja kusema walosababisha wawajibiishwe utayasikia tena yanasema ndioooo, kama majitu majinga yan matahiraWewe ndio mpumbavu,kama unajua Nchi inaendeshwa kikatiba angalizo la Rais linakiuka Katiba gani?
Sawa lakini uhuru uwe na mipakaKila binadamu Ana uhuru wa kutoa mani yake binafsi na basi hapo kavunja katiba kivipi ? Anyways mkuu me sisemi wewe ila watu wengi nlosoma nao shule na nawaona wanatetea ccm ni wale walokuwaga wamwisho darasani kama what is civics iliwashinda wataweza kungamua the ongoing economic crisis na what should be done to stabilize? Hawawezi kamwe ndio mana maneno yao huwa ni ndio, mfano serikali ikitangaza kupitia mama samia ttcl imepata faida wanashangilia ndiooo, alafu ukaguzi wa kichele ukigundua ttcl imeingiza bonge la loss, mama anapokuja kusema walosababisha wawajibiishwe utayasikia tena yanasema ndioooo, kama majitu majinga yan matahira
MuachenI nabiiNashauri nabii akamatwe atupwe baharini anezwe na samaki😡
Lo! Ngumu kumezaWatu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Angekuwa anaimba mapambio kama anavyofanya Malasusa kuhusiana na inzi wa kijani hapo Lumumba ungesema haya maneno?Nashauri nabii akamatwe atupwe baharini anezwe na samaki😡
Mbona Malasusa ni kiongozi wa dini na anapotumia majukwaa ya dini kumsifu na kumuabudu mama haiwi kosa?Kosoa Rais ila usitumie majukwaa ya dini ndio maana Kuna siasa.
Lakini angeisifia serikali asingeonywa au siyo?Aonywe tuu kwamba hiyo sio sawa,asijifanye Msemaji wa Mungu na TL
Hebu rudia unasema mambo ya kisiasa yatamalizwa na nini??
My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.
Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!