Rais Samia alionya dhidi ya kutumia majukwaa ya dini kueneza ajenda za Kisiasa. Huyu Nabii hakusikia kauli ya Mkuu wa Nchi?

Rais Samia alionya dhidi ya kutumia majukwaa ya dini kueneza ajenda za Kisiasa. Huyu Nabii hakusikia kauli ya Mkuu wa Nchi?

Watu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.

Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.


My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.

Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Wala hata sijafungua video.
 
Watu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.

Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.


My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.

Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Lakini kuna wale walisoma na Albadri kwa ajili ya Mama, mbona hukusema juu yao?

Akiwepo mmoja anayemsemea asiye mtu wa ccm kwenu nyinyi mtu huyo afaa afungiwe jiwe shingoni na kutupwa baharini na ama anyongwe...! Mpo kutoa hukumu za vifo kwa watu na mnaona sawa tu kwa kuwa ndivyo mlivyo?

Mtauwa wangapi mkuu kabla nanyi Mungu hajaamua uhai wenu?
 
Lakini kuna wale walisoma na Albadri kwa ajili ya Mama, mbona hukusema juu yao?

Akiwepo mmoja anamsemea asiye ccm kqenu afaa afungiwe jiwe shingoni na kutupwa baharini

Mtauwa wangapi mkuu kabla nanyi Mungu hajaamua uhai wenu?
Dua ina ubaya gani? Huyo pasta amesema anamuombea huyo Lisu kulikuwa na shida gani?
 
Tuwapinge wote wanaotumia dini kukamilisha matakwa yao ya kisiasa....haijalishi ni nani.

Tukifika sehemu miskitini na makanisani tukahubiri dini basi tumekwisha.
 
Watu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.

Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.


My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.

Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Weka na wale wanaomsifia ile inakua sio siasa No reform No Election
 
Dua ina ubaya gani? Huyo pasta amesema anamuombea huyo Lisu kulikuwa na shida gani?
Wewe si umeamua kukata kipande kidogo cha msemaji ili upate hati ya kumpeleka kwa pilato?

Nataka nikwambie mkuu, kuna watu wameuliwa na ama kupotezwa si kwa sababu ya wauwaji kuchukua hatua wao kama wao

Ila, kuna kina nyinyi waandishi waongo na wachonganishi mnaosababisha watu watekwe na ama kuuwawa kwa sababu ya uchonganishi wenu

Na hii dhambi haitawaacha salama wewe na wengine mlio kweye msululu huu wa malipo ya kuchonganisha watu

Ikitokea mtu huyo kapotezwa na ama kuadhibiwa kivyovyote vile, wewe ndio chanzo cha mabaya yote tarakayo mpata, halafu eti hapo ulipo unaingia Kanisani ama msikitini

Onyanokobe!

Tendeni haki
 
Watu wa dini wafanye ajenda ya dini zao badala ya kutumikia ajenda za Wanasiasa kwa mgongo wa dini au kusema Mungu amewatuma wakati wanajua hatuwezi thibitisha.

Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.


My Take
Mambo ya Kisiasa yatamalizwa Kisiasa na sio kwenye majukwa ya dini.

Soma pia Pre GE2025 - DSM - Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!
Kwani viongozi wa kisiasa wanaapishwaje? 😂
 
Ieleweke vyema kwamba kuchanganya dini na siasa kumeleta maafa Nchi mbalimbali and so Rais alikuwa na Nia ya kuzuia hilo Kwa mujibu wa kiapo chake.
🚮
Mbona hao viongozi wa dini wakimsifia Sa100 huwa hulalamiki?

Pia, wananchi wakitekwa na kuuawa na makada wa ccm mbona husemi?

Uhuru wa kuongea ni haki ya Kikatiba ambayo mnaidharau kuwa ni kijitabu tu. Acha watu waseme
 
Suala ni kuchanganya siasa na dini. Hutaki waseme usichotaka, ila unataka usifiwe!
Sifa Kwa Kiongozi ziiichanganywa na dini Kuna shida gani? By the way ni Kiongozi gani alitumia jukwaa la dini kumsifu Rais?
 
Sifa Kwa Kiongozi ziiichanganywa na dini Kuna shida gani? By the way ni Kiongozi gani alitumia jukwaa la dini kumsifu Rais?
13:32 “Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, ...
 
Sifa Kwa Kiongozi ziiLuka 13:32 “Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha(Herode), Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa,ichanganywa na dini Kuna shida gani? By the way ni Kiongozi gani alitumia jukwaa la dini kumsifu Rais

Luka 13:32 “Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha(Herode), Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa,
 
Back
Top Bottom