Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Uhuru wa kujieleza, uhuru wa kidini. Muwe na akili hata kidogo. Aliyeongea aliongea akiwa wapi? Kuna haja ya kuweka sheria kiongozi wa juu awe na angalau Masters. Ila apimwe kama ana akili na uelewa mzuri.Wewe ndio mpumbavu,kama unajua Nchi inaendeshwa kikatiba angalizo la Rais linakiuka Katiba gani?