Rais Samia ajitafakari, yupo kwajili ya Wanasiasa au Watanzania?

passioner255

JF-Expert Member
Apr 22, 2019
5,886
11,369
Imefika muda Rais ajitafakari yupo kwajili ya wanasiasa au Watanzania.

Kwa sababu utoaji wa huduma za kijami bado umekuwa ovyo Kwa mfano suala la umeme bado hali ni ovyo.

Mfumuko wa bei ya vyakula bado hali sio nzuri, uzembe makazini umeongezeka, hali ya ajira bado ni ngumu.

Rais ajue yupo hapo Kwa ajili ya Watanzania sio kwa ajili ya wanasiasa tu.

Watanzania watakukumbuka kwa ya kuboresha Maisha yao sio kuboresha maslahi ya wanasiasa.

Ndiyo maana watu wengi wanamkumbuka Magufuli kwa sababu aliweza kukontrol basic needs za Watanzania bei zisipande ovyoovyo.
 
1)Vipi ajira wakati wa Magu?

2)wakati wa corona bei ya mafuta ikishuka hadi 1600tsh,shukrani ziiendee corona

Lete bei ya mafuta Tanzania ukilinganisha na majirani wakati wa Magu na ulinganishe na kwa sasa bei ya Tanzania ukilinganisha na na majirani hao hao .
BEI ZOTE ZIWE KWA DOLA au zote kwa tsh.

3)Kwenye UMEME MAGUFULI SALUTI.
 
Kwa mfano suala la umeme bado Hali ni ovyo,mfumuko wa bei ya vyakula bado Hali sio nzuri,uzembe makazini umeongezeka,Hali ya ajira bado ni ngumu
Kwanza hujui kuandika. Pili huelewi hanzo cha matatizo.uliyo yaorodhesha ktk huu uzi wako. Matizo ya ajira na mfumko wa bei ni global (sijui unaelewa nikisema global?).

Tatizo la umeme serikali iko katikati ya kazi ya kulishughulikia. Sasa unasema nn mleta mada?
 
Kwan we mjinga Bei ya sukar silianza Pana kipindi Cha huyo mgufuli wenu ebu tunyamazie sisi tunasherekehea hotuba ya kishujaa ya mama yetu kipenzi . Mfumuko wa bei ni dunia nzima
Bei ya vyakula kama Mchele,unga vinapanda ovyoovyo.umeme unakatika ovyoovyo ajitafakari
 
Imefika muda Rais ajitafakari yupo Kwa Ajili ya wanasiasa au watanzania.kwa Sababu utoaji wa huduma za kijami bado umekuwa ovyo Kwa mfano suala la umeme bado Hali ni ovyo,mfumuko wa bei ya vyakula bado Hali sio nzuri,uzembe makazini umeongezeka,Hali ya ajira bado ni ngumu.Rais ajue yupo hapo Kwa Ajili ya watanzania sio Kwa Ajili ya wanasiasa tu.watanzania watakukumbuka Kwa Ajili ya kuboresha Maisha Yao sio kuboresha maslahi ya wanasiasa.ndo maana watu wengi wanamkumbuka magufuli Kwa Sababu aliweza kukontrol basic needs za watanzania bei zisipande ovyoovyo.
we huna akili
 
Kwanza hujui kuandika. Pili huelewi hanzo cha matatizo.uliyo yaorodhesha ktk huu uzi wako. Matizo ya ajira na mfumko wa bei ni global (sijui unaelewa nikisema global?).

Tatizo la umeme serikali iko katikati ya kazi ya kulishughulikia. Sasa unasema nn mleta mada?
Kwamba matatizo ya kuongezeka kwa bei ya vyakula ni global wakati vyakula tunazalisha wenyewe?
 
Back
Top Bottom