Rais Samia aipongeza Yanga kwa ushindi mkubwa

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Apr 24, 2019
1,729
3,290
Baaada ya Derby ya Leo Mheshimiwa Rais wa Nchi Samia suluhu hassan ametoa pongezi zake kwa Team ya Yanga kwa ushindi Mkubwa.
Hii ni kupitia Account yake ya Mtandao wa (x)

Screenshot_20231105-193609_X.jpg

Alikua Mbowe siku ya Kule Rwanda Leo Samia.
 
Back
Top Bottom