Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,245
- Thread starter
- #101
Uliolewa mwaka gani? Kuna kitu nataka kukuulizawivu wa nini?
wewe jikombekombe upate udas na ukurugenzi.
Uliolewa mwaka gani? Kuna kitu nataka kukuulizawivu wa nini?
wewe jikombekombe upate udas na ukurugenzi.
We unaonaje?Kwahiyo Huyu mkuu wa Wilaya atakuwa na kiduku Kichwani?
Kuna ukimwi nje nje kule, please. Wife yeye atabakia hapa kwaajili ya kulea watoto.Tulia kwenye ndoa, hakuna mwanamke anayeweza kuolewa na wanaume wawili.
ww inaonesha unahamu ya kula muwaUliolewa mwaka gani? Kuna kitu nataka kukuuliza
🙏🙏🙏warumi warumi njoo umjibu huyu.
Sinywi maji ila ujumbe ufike,moyo wangu upo imara mkuu , hii ni tz ya wapi ,tuwaweke kwenye maombi au maana sielewiUmeandika kwa uchungu mkubwa sana, kunywa maji
Kunywa maji bibieSinywi maji ila ujumbe ufike,moyo wangu upo imara mkuu , hii ni tz ya wapi ,tuwaweke kwenye maombi au maana sielewi
Kumbe u mjinga kiasi ichi,siku nyingine jaribu kidogo ficha ujinga wako ,Kunywa maji bibie
Kwa hio Niki kapewa hisani ili atulizane? HahahahahaFujo lakini hii! 🤣🤣🤣. Kwamba Kabudi aliwahi kwenda Ufaransa kula raha na ubavu wa Nikki?
unapendaje personality ya mwanamme mwenzio wewe ni ke ?Mhh simjui kwa undani ila napenda tu personality yake anapenda familia.
No ameomba kusaidiwa kumtagia warumi nami nimemsaidia tu.Nawe kumbe unapenda umbea?
Mimi ni ke duuhunapendaje personality ya mwanamme mwenzio wewe ni ke ?
basi sawa.No ameomba kusaidiwa kumtagia warumi nami nimemsaidia tu.ombea hapana hii kichwa imejaa mapicha picha tu ombea sipo.